Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Doing my part in building the nation.
20200120_121906.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwee hiyo link imegoma kufunguka

Jr

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dugu moja... Ila jinsia hazifanani na tabia pia
Wa vyakula ni maalum kwa vyakula
Wa walevi ni maalum kwa wanywaji
Wa vituko mitandaoni ni mambo ya vibweka
Wa selfika ni kwa ajili ya picha binafsi
Lakini wadau wakashindwa kutofautisha na kujikuta wanachanganya kila kitu karibia kwenye kila uzi... Ndio nikaona Kuna haja ya kuleta uzi huu wa wala bata wa JF kwakuwa kuna watu huwa wanazingatia maudhui hivyo anaona akipost kitu kisichoendana na maudhui anajiona hajatenda haki...
Uzi huu ni combine ya picha zote ambazo mtu anaona hazifiti kule kwingine
Huu uzi wa wala bata wa jf, na huu wa selfie, na ule wa vituko mtandaoni na uzi wa vyakula una tofauti gani mshana Jr?

Jr
 
Back
Top Bottom