Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,924
- 95,728
Una kamwili katam sana.
njoo Le Casa mkuu
The lovely Sis that God given us!![]()










Hata mimi nipo hapa "machakani B" Eli. Hiyo picha nimepakua mahali.Nipo huku machakani Paula, nasikia kupata visa ya huko ni sawa na kuomba kupata pepo.


Kako wapi eti jamani, huyo ni mwanangu wa ubatizo mkuuUna kamwili katam sana.
Wakubwa wanafaidi
Unishtue jamani ShemTufanye next weekend.
Leo sipo town
Hem' nipe GPS faster Paula, tukiwa wawili huenda Trump akawa msikivuHata mimi nipo hapa "machakani B" Eli. Hiyo picha nimepakua mahali.
Nipitie tuende zetu, tukasuluhishe
Viza ghali? Tutazamia usijali.
.Mimi nilisoma jiongrafia, nafanya kusoma ramani kwa usahihi sana mdogo wangu.
Hapana jamani kaka mpendwa!!

utanistua kama ntakua aroundTufanye next weekend.
Leo sipo town
Mimi nilisoma jiongrafia, nafanya kusoma ramani kwa usahihi sana mdogo wangu.![]()






utanistua kama ntakua around
4th floor,pale nje ya computer labBasi itakuwa nishawai kukuona
20164th floor,pale nje ya computer labView attachment 1320092