Clkey
JF-Expert Member
- May 29, 2014
- 5,720
- 15,352
Si ndio hapo sasaAtakuwa kaamini!!
Amesahau alipanga akutane na Sakayo toka tarehe 27



Vitume na ile keki yangu.Hahahaah
Njoo vichukuee
Jamani dada
HahahaahahhaVitume na ile keki yangu.
Ooooh!! Hapo sawa mama J.Sijaamini hata kidogo![]()
Wakubwa wanafaidi






Kweli kabisaa jamani!! Wanafaidi saana jamani
Haiwezekani aki
Hivi kumbe hata nyie wadada Huko PM hakukaliki?Naiomba pm
Wenyewe kwa wenyewe mnataminiana je sisi vidume tunakua kwenye hali gani



una uhakika gani kama mimi ni wa kike??
Wenyewe kwa wenyewe mnataminiana je sisi vidume tunakua kwenye hali gani