Selfika na JF: Snap it. Show it

Chips mayai wapi mama sie wenyewe nguna tunapiga sana ila nimeshangaa huo msosi sababu kwanza kabisa mie sipendi samaki wasio na magamba,, pili mie siyo mpenzi wa mlenda na wala sijawahi kuula maishani mwangu,, tatu siwezi changanya dona na muhogo heri nikule kimoja nijue moja,, nne ngoja niweke kapuni..

Though najua hivyo vitu ni vitamu ila mie tu ndiyo sijaamua kuvijaribu

Nyie wa chipsi mayai hamuwezi hayo mambo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Okey.
 
Pesa ya mauzo ya tiles rudisha bank ikazungushe
 
Unyanyapaa mchana kweupeee mangi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…