Chips mayai wapi mama sie wenyewe nguna tunapiga sana ila nimeshangaa huo msosi sababu kwanza kabisa mie sipendi samaki wasio na magamba,, pili mie siyo mpenzi wa mlenda na wala sijawahi kuula maishani mwangu,, tatu siwezi changanya dona na muhogo heri nikule kimoja nijue moja,, nne ngoja niweke kapuni..
Though najua hivyo vitu ni vitamu ila mie tu ndiyo sijaamua kuvijaribu
Sent using
Jamii Forums mobile app