Safari nimeziacha mkuu....nilienda bar moja nikaagiza safari kuna wateja walikua wamekaa pembeni wakachukua simu zao zilizokua juu ya meza wakaweka mfukoni...walijua kibaka kaingia kisa nakula safari
Safari nimeziacha mkuu....nilienda bar moja nikaagiza safari kuna wateja walikua wamekaa pembeni wakachukua simu zao zilizokua juu ya meza wakaweka mfukoni...walijua kibaka kaingia kisa nakula safari