Punguza kufichwa...Okee Okee,, dah siku hizi nimekuwa mvivu wa kuangalia mechi huwa nasubiri matokeo tu..
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahhaa afu umenikumbusha jambo la mbolea sana. Ntampelekea kabisa na miche ya mirozella aipande



hebu tuache makuhani
Haki najuuuya kuwaota. Mnitue kunijia ndotoni tena.
asanteHiyo ila nasikia siku ziliongezwa, hivyo sina hakika.View attachment 1296880
Khaaaah!! Yaani wewe kweli nunda, hadi ndoto una mashaka nayo![]()
We nimekununia, tuonane 2025.Hebu futa kauli mkwe










Dota ukija njoo na mananasi ya kutosha. Mirozela baki nayo meenyewe.Hahhaa afu umenikumbusha jambo la mbolea sana. Ntampelekea kabisa na miche ya mirozella aipande
Mmmmmmmh!




Naona hutaki kuelewa
ilà nakupenda tuHahah kama nataka kuamini hivi...
Ntaenda kukubebea mawenzi paleDota ukija njoo na mananasi ya kutosha. Mirozela baki nayo meenyewe.