Hannah
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 10,146
- 41,401
ayayayayay mimi huwa sikubali kushindwa kama niko sahihi yaani tutaenda sambamba mpaka kieleweke aise


Yani chochote hata mkono mguu shingo lips utachovutika nacho
plus vishimo vya mashavuniEti reception yake yenye mwanya
Full tafadhaliHahahaa.. yangu ya full au passport? Mama Sabrina kazi zitakua zimemkaba
Hata mke wako haoni ndani sio?
Umeamua ujilipue kabisa Unaonekana we jasiri kama Cynthia Rock au Nikita au Rosa mistikaMi nshajilipua kwenye avatar
That's really casualKeep It Casual.View attachment 1219770
Watakuja tu wengi bado hawajauelewa uzi,
Kumbe hana swaga hata za kuazima 😂😂Ukweli upi unaotuchoma mbona hata sie tuliisifi ila dharau zako ndo zimekufikisha hapa na pic ulopost leo nimeiona.....unapenda wenye swaga wakati mtu mwenyewe huna swaga
Weka tenaNilishaweka basi hukuona tu
Basi wewe ni mzuri sana aiseeMi nshajilipua kwenye avatar
We mtoto cheupeDaah sijaiona ipo page ya ngapi utakuwa ni mfupi lakini ana gubu kama lotee
Hahahaha namkumbuka huyo jamaa saiv atakuwa anachungulia tu kwa mbaaali













.


hamna raha kama unagombana na mtu alafu unamchora...