Kapeace
JF-Expert Member
- May 26, 2017
- 25,621
- 69,357
Kwakweli hebu kagua kagua
ngoja niangalie
ngoja niangalie
Utaambiwa sio mwanaume rijaliSijapenda ngozi nyeupe ipaizwe mbele ya dada zetu na mama zetu Waafrika.

Hivi si unitumie tu hiyo picha unipoze mtima wangu?
watu wanafaidi sanaNisifiwe uzi mzima huu
Kama mwandiko ulivyo mpole hadi sura yake, reception ile ni kali bhana na sikuisave ile pic ila taswira haijanitoka njoo pm nikuchoree
Umewafanya nini hao wadada..... Mkuu umepambana sana
Una msimamo sana mkuu, hao wadada kweli ni wazuri ila wameachwa mbali sana na huyo aliedanganya picha
Ni mawazo yangu tuu.. Sitaki kushambuliwa
Na wala hatukushambulii maana hauna hadhi ya kushambuliwa na sisi.Umewafanya nini hao wadada..... Mkuu umepambana sana
Una msimamo sana mkuu, hao wadada kweli ni wazuri ila wameachwa mbali sana na huyo aliedanganya picha
Ni mawazo yangu tuu.. Sitaki kushambuliwa
Kwani we sio mtu?watu wanafaidi sana
wameua kivipi?Hahahahahaaaaaaaa haloooooooo yani yupo huko anakufa kwa kicheko huku watu wameshaua mamilioni ya watoto, Mungu anamuona
Ukweli unachoma ndugu...Umewafanya nini hao wadada..... Mkuu umepambana sana
Una msimamo sana mkuu, hao wadada kweli ni wazuri ila wameachwa mbali sana na huyo aliedanganya picha
Ni mawazo yangu tuu.. Sitaki kushambuliwa

yani wana hasira Ningekuwa karibu wangeshanila nyamajilipueHuu uzi kila nikiingua nakuta umeongezeka comments 1000+
Na wala hatukushambulii maana hauna hadhi ya kushambuliwa na sisi.
Kafie mbele.



mamamama kwa hili shushu ningetoka JF mileleHuu uzi kila nikiingua nakuta umeongezeka comments 1000+
Waliona ule mguu wakaupigia nyeto huku wakitamka jina la bibie.Hahahahahaaaaaaaa haloooooooo yani yupo huko anakufa kwa kicheko huku watu wameshaua mamilioni ya watoto, Mungu anamuona
wameua kivipi?
Hivi huyo kwenye avatar yako ni wewe mwenyewe??Huu uzi kila nikiingua nakuta umeongezeka comments 1000+