kabisa,, mwalimu wangu wa hesabu a level ndiyo kabisa hakuwahi kuliona daftari langu hadi tunamaliza shule halafu alikuwaga mpole masikini hata kuchapa hajawahi..
Siku hiyo anarudisha madaftari darasa limetulia kimya ghafla akaniuliza "halafu E daftari lako liko wapi mbona sijawahi kuliona tangu nianze kuwafundisha" darasa zima lilicheka
yaani aliongea kwa masikitiko hadi nilimuonea huruma jamani
Sent using
Jamii Forums mobile app