Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

makaveli10 niaje mshkaji wangu?
Njoo utupie kitambo sijakuona!!

Ule mwanya wako bado unazunguka kwenye kichwa changu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Ms eyes uliendaga wapi wewe Miss selfika, twiga wetu na wii wangu jamaniโ€ฆ ๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป๐Ÿ˜ป
 
Umeanzaa, ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Breakfast chai ya saa tatu..!!

Wanatuchosha bana weeeh, mi watu tunaijua vyedi inatumalizia miti tu..!!

Nyoko nyoko nyingi oohh.! Sisi habari zetu hamuwezi kuzipata mpaka tuamue kuwapa..!! Mtsiewwww kwa habari gani??

Sisi habari zao tunazipata jumla jumla haya waje tuwape habari zao motomoto mubasharaaaaa..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Uwe muuzaji JF hafu tusikukamate thubutuuuuuu..!! Wambea oyeeeeee
 
Last tuezz! ๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜View attachment 3672262
๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ
Nyie uduguuu hii ndo picha kali ya mwaka huu selfika iwekewe lamination na ibandikwe kwenye uzi..!! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜

Hii rangi kaliii mpaka sio pouwaaa..!!
Mungu kakuumba na kakupa Uzuri juu.

Baba tramu ana haki ya kuchanganyikiwa sio kwa chuma hiki..!! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜˜๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Breakfast chai ya saa tatu..!!

Wanatuchosha bana weeeh, mi watu tunaijua vyedi inatumalizia miti tu..!!

Nyoko nyoko nyingi oohh.! Sisi habari zetu hamuwezi kuzipata mpaka tuamue kuwapa..!! Mtsiewwww kwa habari gani??

Sisi habari zao tunazipata jumla jumla haya waje tuwape habari zao motomoto mubasharaaaaa..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Uwe muuzaji JF hafu tusikukamate thubutuuuuuu..!! Wambea oyeeeeee
Mda wa kazii huu uduguu, em subirii baadae.
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ๐Ÿ˜ณ
Nyie uduguuu hii ndo picha kali ya mwaka huu selfika iwekewe lamination na ibandikwe kwenye uzi..!! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜๐Ÿ˜˜

Hii rangi kaliii mpaka sio pouwaaa..!!
Mungu kakuumba na kakupa Uzuri juu.

Baba tramu ana haki ya kuchanganyikiwa sio kwa chuma hiki..!! ๐Ÿ˜๐Ÿ˜˜๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ๐Ÿฅฐ
Uduguu sifa sasa, mie naenda zangu kwenye nyuzi za siasa, nikakwaruane na machawa wa veggies.
 
Uduguu sifa sasa, mie naenda zangu kwenye nyuzi za siasa, nikakwaruane na machawa wa veggies.
Kweli umenoga uduguu wangu..!!
Ngoja nipige issue moja nakuja huko, si unajua ukitoa umbea kitu kingine ninachokipenda siasa..!!
 
Back
Top Bottom