Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Umenivuruga where did u get that Nyanga makani🙆🏽‍♀️

Kutokana na uhodari wake katika masomo, Mheshimiwa Bob Makani alifaulu na kupelekwa Chuo Kikuu Cha Makerere, wakati huo kikiwa ni Chuo Kikuu cha pekee Afrika Mashariki, ambako alifuzu na kupata Shahada ya Kwanza katika Uchumi (BA Economics).

Hakuridhika na shahada hiyo. Mwaka wa 1961 alikwenda Chuo Kikuu cha Liverpool, nchini Uingereza na 1965 akatunukiwa Shahada ya Sheria (LLB).
 
Kutokana na uhodari wake katika masomo, Mheshimiwa Bob Makani alifaulu na kupelekwa Chuo Kikuu Cha Makerere, wakati huo kikiwa ni Chuo Kikuu cha pekee Afrika Mashariki, ambako alifuzu na kupata Shahada ya Kwanza katika Uchumi (BA Economics).

Hakuridhika na shahada hiyo. Mwaka wa 1961 alikwenda Chuo Kikuu cha Liverpool, nchini Uingereza na 1965 akatunukiwa Shahada ya Sheria (LLB).
Mungu wangu 🥺🙆🏽‍♀️
 
Back
Top Bottom