Selfika na JF: Snap it. Show it

Nimelia sana ๐Ÿ˜ƒ
Thibisha kama umelia vinginevyo ni chai
Kuchungulia ni msamiati mkali kwangu maana me sijfichi huwa nashinda hapa napiga story mbili tatu muda uende
Leo ulikua una vizia uchungulie ila ndioo hivyo๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Pia huwa naweka nikipiga labda hujawai nibahatisha pia๐Ÿ˜ƒ
Weka leo nione pulizzzz
Who am i..๐Ÿค” kijana tuu nipo kwenye early 20s zangu najiandaa na Ue kesho inaanza mkuu๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
Upo kwenye early 20s join 2017๐Ÿ˜Ž
 
Thibisha kama umelia vinginevyo ni chai
๐Ÿ˜ƒKwamba nitume machozi ama nathibitashe mguu??
Leo ulikua una vizia uchungulie ila ndioo hivyo๐Ÿ˜๐Ÿ˜
Kuvizia nisingejileta hapa kusalimiana na wakuu me nimekuja lengo nijue ndugu zangu katika Bwana wa ukanda huu wanaendeleaje...๐Ÿ˜ƒ kwahiyo me sio mviziaji mkuu tutumie mpita njia labda
Weka leo nione pulizzzz
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒSawaaa ngoja niende Adobe kwanza๐Ÿ˜€
Upo kwenye early 20s join 2017๐Ÿ˜Ž
Mkuu kwel chalii tuu mimi
 
Asante na kwako pia ulale salama

Kuna zile za kuishia nusu ya mguu hazina kisigino ukivaa na Skirt au gauni zinapendezea mno
Nataka km hizi
Mi uvaaji wangu ni wa kufunika mwili
Siachi mwili wazi zaidi ya kichwa na mikono๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Halaf watu wanasema unapaka nn kumbe siri ni kufunika mwili
 

Attachments

  • Screenshot_20260623_172717_Pinterest.jpg
    151.4 KB · Views: 4
๐Ÿ˜ƒKwamba nitume machozi ama nathibitashe mguu??
Piga picha jicho likidondosha chozi
Kuvizia nisingejileta hapa kusalimiana na wakuu me nimekuja lengo nijue ndugu zangu katika Bwana wa ukanda huu wanaendeleaje...๐Ÿ˜ƒ kwahiyo me sio mviziaji mkuu tutumie mpita njia labda
Sawa mpita njia ๐Ÿคฃ
๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒSawaaa ngoja niende Adobe kwanza๐Ÿ˜€
Na weitiiiii
Mkuu kwel chalii tuu mimi
Yankiii๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿคฃ
 
Nataka km hizi
Mi uvaaji wangu ni wa kufunika mwili
Siachi mwili wazi zaidi ya kichwa na mikono๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€
Halaf watu wanasema unapaka nn kumbe siri ni kufunika mwili
Kabla hujalala nataka nijilete uniweke mbele za Bwana mtumishi kesho kivumbi day๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ