Wacha weeh!! πππ π hii enzi nipo udogoni, sina picha ingine humu sikaagi na vizibitiView attachment 3622733
Njoo nikukojolee nilale π₯²
Kamkojolee aliyekukojoa matako yako..!!
πππ Sasa hivi nataka ziacha nywele niwe na Tundu Lissu stylez nilikuwa na zaidi ya zile mwaka juzi nikapata mshangazi ukanidanganya nikanyoa vi dred vyangu alafu akaniachaaa π€£π€£ ila wadada nyie Mungu anawaonaWacha weeh!! ππ
Likaka lizuri la mwaka wa mbele..!!
Huo uchebe sasa awwww π₯π₯
Unakuja kwa babu miga hafu unakataa..!!
Ukitokea kwa pembeni km Max vile..!!
Acha tu πΉπΉπΉππ kila mtu ana file chafu la mwenzakee .. tuwashe moto tuuu
π π ila jf ikifika kipindi cha minyukano mod huwa wanakuwa na mitihani sanaaa .. na kazi ya ziada, maana watu huwa wanamwagika kama nyuki kila konaAcha tu πΉπΉπΉ
Raha waanze wenyewe, tukianza sisi tutaonekana wachokozi..!!
πΉπΉπΉ Mshangazi Una roho mbaya huo, unakushauri ukate dred ili akupige chini ubaki na memories zake..!!πππ Sasa hivi nataka ziacha nywele niwe na Tundu Lissu stylez nilikuwa na zaidi ya zile mwaka juzi nikapata mshangazi ukanidanganya nikanyoa vi dred vyangu alafu akaniachaaa π€£π€£ ila wadada nyie Mungu anawaona
π π na tokea kipindi kile sijawai pata style kama ile , maana nilitunza nywele kila wiki zilikuwa zinapigwa vitu vya maana so zilikuwaa nyeusiii hatari alafu zang'aaa ile mbayaaa ila ndio ivyo nikajaa kwenye mfumoo shwaaaa kama alitumwaa vileπΉπΉπΉ Mshangazi Una roho mbaya huo, unakushauri ukate dred ili akupige chini ubaki na memories zake..!!
Na mimi lazima nipewe ban πΉπΉπ π ila jf ikifika kipindi cha minyukano mod huwa wanakuwa na mitihani sanaaa .. na kazi ya ziada, maana watu huwa wanamwagika kama nyuki kila kona
Pole, mshangazi ulaaniwe huko ulipo..!! πΉπΉπ π na tokea kipindi kile sijawai pata style kama ile , maana nilitunza nywele kila wiki zilikuwa zinapigwa vitu vya maana so zilikuwaa nyeusiii hatari alafu zang'aaa ile mbayaaa ila ndio ivyo nikajaa kwenye mfumoo shwaaaa kama alitumwaa vile
π π πNa mimi lazima nipewe ban πΉπΉ
Wakati hata ugomvi haunihusu khaaaa..!!
Ban za 2023 zile siji kusahau, nilipewa peke yangu kwenye ugomvi.. baadaye nikarudishwa..!!
Baada ya dakika nikafungiwa kukoment selfika, dakika 15 wakanirudisha eeehh ugomvi ukahamia kwa mods, tukawachamba mods na kina coca na Saint Anne mods wakawa wanafuta sisi tunawachamba.. πΉπΉπΉ
Tukafirushwa woteeee na Uzi ukafungwa πΉπΉπΉ
Tulikaa miezi mshana akaanzisha mwingine wa βUmevaaje leoβ kule tukaanza tena midomo tukapewa ban tusichangie uzi.. watu wakarudi na maparody ukafungwa..!! πΉπΉ
πππ
Hulali?πππ
Code za leo π₯π₯π₯
Na hilo ganda uliloshika nipe nikusaidie kukutunzia..!! πΉπΉπΉ
Tuko zone tofauti lala wewe πΉπΉHulali?
πππ ndio naingia ndani kulala dah ..πππ
Code za leo π₯π₯π₯
Na hilo ganda uliloshika nipe nikusaidie kukutunzia..!! πΉπΉπΉ
leo ni humu tu magethoniMjifungia hata kuselfika?
Sawa sawaleo ni humu tu magethoniView attachment 3624391