Wewe binti nipo vijijini mimi endelea kunipamba, hapa nasubiri makande ya jioni yaive!kuna watu wataamini unakoka kuni kweli,, mtu unakaa mtaa wa kitajiri hivi hata mkaa mnaujua kweli ๐ค๐ฉ๐๐
Dahh sijapenda! Yani pumzi yake nipo hapa na humtaji๐ฅน
nimtaje mwishoe ajikwae adondoke ili tusipelekwe ngorongoro 77 we kuweza๐ ๐Nilikuwa nazichokonoa yani nikazikate tu sitaweza hizi mambo๐
jikaze usizikate,, itakua unakichwa chepesi kama changu, tafuta ile sulphur jell wanasema inasaidia na kila wiki uwe unaosha
ila wakishua hamna cha kupoteza kabisa,, sufuria ya laki 2 hamuoni shida kuweka kwenye kuni๐ข๐ข,, ngoja niendelee kutafuta pesa tu ๐คฃ๐คฃWewe binti nipo vijijini mimi endelea kunipamba, hapa nasubiri makande ya jioni yaive!
Haya bisha๐
Jamani kwani ukiyaweka kwenye kuni yanakuwaje๐คฃ mbona yanapika kama kawaida tuila wakishua hamna cha kupoteza kabisa,, sufuria ya laki 2 hamuoni shida kuweka kwenye kuni๐ข๐ข,, ngoja niendelee kutafuta pesa tu ๐คฃ๐คฃ
mmh tuliletewa zawadi na dada etu wa mjini ni mwaka wa pili mama ameyatunza uvunguni mwa kitanda chake๐ ๐ ๐ hataki yaharibikeJamani kwani ukiyaweka kwenye kuni yanakuwaje๐คฃ mbona yanapika kama kawaida tu
Hiyo tabia ya bibi yangu kuweka masufuria uvunguni mwake wakati kabati analo๐คฃmmh tuliletewa zawadi na dada etu wa mjini ni mwaka wa pili mama ameyatunza uvunguni mwa kitanda chake๐ ๐ ๐ hataki yaharibike
weee huyo rafiki ako anajua matumizi ya pesa sasa๐ ๐ ๐ anataka viharibike ili vinunuliwe vingineHiyo tabia ya bibi yangu kuweka masufuria uvunguni mwake wakati kabati analo๐คฃ
Haya bora, kuna yale ya 350k mazito! Nilimkuta tafkiangu katenga kwenye kuni nikachoka๐
Alikuwa nayo kama hayo yakachakaa akayatupa, huwa namuangaliiaa๐คweee huyo rafiki ako anajua matumizi ya pesa sasa๐ ๐ ๐ anataka viharibike ili vinunuliwe vingine
unamuangalia unashindwa kummaliza๐ ๐ ๐ unatamani umuokotee hata maweAlikuwa nayo kama hayo yakachakaa akayatupa, huwa namuangaliiaa๐ค
Yani sijui wakoje hawa watu wanaatupa vitu eti!wakati kuna wenzao hapa hatuna. Mmoja hapa namsikia anasema anataka kukitupa kitanda chake duh! Nimemwambia kigawe kuliko kukitupa duh!unamuangalia unashindwa kummaliza๐ ๐ ๐ unatamani umuokotee hata mawe
mbona atupe kitanda kimefanya nini si bora akaki topup tu,, huyo tumchumie fimbo hamna namnaYani sijui wakoje hawa watu wanaatupa vitu eti!wakati kuna wenzao hapa hatuna. Mmoja hapa namsikia anasema anataka kukitupa kitanda chake duh! Nimemwambia kigawe kuliko kukitupa duh!
Huyo anapenda kununua vitanda kuanzia 1m akatop up uwii huwa najikausha namuwaza tu๐คmbona atupe kitanda kimefanya nini si bora akaki topup tu,, huyo tumchumie fimbo hamna namna
naomba aje akitupe kwangu๐ isiwe tu kafanyia mauasherati mengimengiHuyo anapenda kununua vitanda kuanzia 1m akatop up uwii huwa najikausha namuwaza tu๐ค
Vitanda vya siku hizi kuviamini sio mchezo๐naomba aje akitupe kwangu๐ isiwe tu kafanyia mauasherati mengimengi
chumvi ya mawe ipo ๐Vitanda vya siku hizi kuviamini sio mchezo๐
Subiri ukutane na kunguni๐คญchumvi ya mawe ipo ๐
vitanda vya 1M vinaweza kuwa na kunguni? ๐ ๐ chemsha maji mwangia, chukua rungu pulizia alf naanika juaniSubiri ukutane na kunguni๐คญ
Mninga haubebi kunguni bwana! Nimwagie wapi mimi sijawahi miliki hao viumbe!๐vitanda vya 1M vinaweza kuwa na kunguni? ๐ ๐ chemsha maji mwangia, chukua rungu pulizia alf naanika juani