Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

Hamna mkinga kabisa, na kaka yake alikuwa kamtoa mdogo wake mwingine wa kiume, kadri anavyoranduka ndivyo mzee alikuwa anapiga pesa, akianza kukaa sawa biashara zake wanadai zinapoa, kiukweli hata pale hotelini nilikuwa naona kuna sizi.. na alikuwa anampenda kinoma, bora umkosee bosi, sio yule mdogo wake chini..

Kwanza we mkinga acha nikae mbali na wewe, usije niweka msukule bure
😹😹😹😹 Umeanza!
Hayo maneno bhana maka..
Acha uoga kijana
 
Hunitakii mema 😹😹
Huyu kungwi dume hapana ukitoka honey moon na mimba juu ya twins..!!

Maka size yako wote mafundi hakuna wa kumtisha mwenzie..!! Show show 😹😹

Em nifundeni basi nisiachike….!!
Kwani wewe hutaki twins 🤣?
Kwanza achana na habari za kufundwa, nasikia Maka alipita humu selfika, yani hata kuniita mwanakwetu 😅
 
Kwani wewe hutaki twins 🤣?
Kwanza achana na habari za kufundwa, nasikia Maka alipita humu selfika, yani hata kuniita mwanakwetu 😅
😹😹😹 Mwanakwetu alipita na video kabisa..!!
Kijana wa moto yani vitu zako kabisaa..!!
Maka kapendelewa mpaka mwanya imagine jamani..!! 😻😻

Tena sio lile mwanya km pengo no!
Ni kale ka mwanya kenyewe kazuri 🔥🔥
Ukimuona unaweza kukukataa kijana anashawishi..!! Mwanakwetu mwambie apite umuone km hujachanganyikiwa..!!
 
😹😹😹😹 Umeanza!
Hayo maneno bhana maka..
Acha uoga kijana
Hata mimi nikikuwa siamini lakini, baadae kuna vitu vikawa vinanitia mashaka,
Nyie wakinga sio watu wazuri..
We hata siku ukiniambia "makaveli njoo upige kigoli chako cha jogoo, kigoli chako cha tako 3)"
Nitakuja kwa mashaka sana, nitakuja na dua nyingi mnoo, mkono huu nina rozali, huku nina tasbihi, huku nasoma dua..
Na nikifika kibamia changu nikikichovya, napiga tako 2, nachomoa ile ya 3 siimalizii nikamwagia huko, tako la pili tu, nachomoa, nazikinga protini zangu, nitaenda kuzimaga hata baharini, uwe msosi wa samaki 😂🤣🤣
Wakinga hamna maana nyie
 
😹😹😹 Mwanakwetu alipita na video kabisa..!!
Kijana wa moto yani vitu zako kabisaa..!!
Maka kapendelewa mpaka mwanya imagine jamani..!! 😻😻

Tena sio lile mwanya km pengo no!
Ni kale ka mwanya kenyewe kazuri 🔥🔥
Ukimuona unaweza kukukataa kijana anashawishi..!! Mwanakwetu mwambie apite umuone km hujachanganyikiwa..!!
Utachomwa moto wa gesi wewe 😂
 
Hata mimi nikikuwa siamini lakini, baadae kuna vitu vikawa vinanitia mashaka,
Nyie wakinga sio watu wazuri..
We hata siku ukiniambia "makaveli njoo upige kigoli chako cha jogoo, kigoli chako cha tako 3)"
Nitakuja kwa mashaka sana, nitakuja na dua nyingi mnoo, mkono huu nina rozali, huku nina tasbihi, huku nasoma dua..
Na nikifika kibamia changu nikikichovya, napiga tako 2, nachomoa ile ya 3 siimalizii nikamwagia huko, tako la pili tu, nachomoa, nazikinga protini zangu, nitaenda kuzimaga hata baharini, uwe msosi wa samaki 😂🤣🤣
Wakinga hamna maana nyie
😹😹😹😹😹😹😹 Maka acha ufalah..!!
Ukija nakufungia week nzima hutoki ndani 😹
 
AI
 

Attachments

  • IMG_5712.jpeg
    IMG_5712.jpeg
    700.4 KB · Views: 3
Back
Top Bottom