makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 37,450
- 108,530
Hahaaaa ....Kweli hata kitanda nimekilalia nahisi wewe ndio godoro lenyewe π»
Nimeingia kuoga naona kabisa maka huyu ananiogesha πΉπΉ
Em tupia kwanza nyingine tupo peke yetu maka..!!Kwahiyo tutegemee ongezeko la groyp O au sio
Unanitesa ujue,π π siasa umeanza wewe kupita Robo mtu
πΉπΉπΉHahaaaa ....
Nimetoa cheko kama la bobby brown katika goma la ja rule THUG LOVIN
Hata kama ila sijakufikia wewe robo kweli fanya namna mnyamweziUnanitesa ujue,
Wewe mwenyewe hujawahi kurusha nzima.
Niko room, umunyu umunyu..Em tupia kwanza nyingine tupo peke yetu maka..!!
Uduguuu hii sauti ni km ya mdada fulani, nilikua nae pale main campus, na yeye alikua anapenda kuimba.πΉπΉπΉ
Uzi leo ulikuwa wa moto wakaka wamekiwasha sio pouwa πΉπΉπΉ
Balimi ishapanda kichwani.πΉπΉπΉ
Wewe na huyo mdada kila siku unayenifananisha naye kuna kitu πΉπΉUduguuu hii sauti ni km ya mdada fulani, nilikua nae pale main campus, na yeye alikua anapenda kuimba.
Alooo πππ
Matraco yako πΉBalimi ishapanda kichwani.
πΉπΉπΉ
Naruhusiwa kuweka ringtone hii?πΉπΉπΉ
Ladies firstπHata kama ila sijakufikia wewe robo kweli fanya namna mnyamwezi
Wamekiwasha kwa kuchamba au? πππUzi leo ulikuwa wa moto wakaka wamekiwasha sio pouwa πΉπΉπΉ
Maka sasa kafanya dhambi ya fashooooonn
Kapita naked hafu liko hot mbaya π₯π₯
Wallah tenaa, hii sauti sio ngeni kabisa masikioni kwangu.Wewe na huyo mdada kila siku unayenifananisha naye kuna kitu πΉπΉ
Ili ukimbieLadies firstπ