PoaaaSawa, asante
Haya selfika
Aki we ni wa kupiga🫢Kupita mimi Anhaaa 😂
Unataka sehem gani ya mwili bebeHebu pita mi nikamalizie jioni yangu mahala😅
Kitambo ht sikumbukiKwani hujawahi niona?
Mniokotee maweAki we ni wa kupiga🫢
Nakutata wote maswali yasiwe mengi😁Unataka sehem gani ya mwili bebe
Mwenyewe nataka kwenye sa 1 nikashtue umasikini
Barrakallah fik, allhamdulliahMwishoni umetabasamu vizuri MashaAllah
We ngoja!Mniokotee mawe
Watu weuweeeeeNakutata wote maswali yasiwe mengi😁
Soon napitaKitambo ht sikumbuki
Kama nakujua hivi🤔Barrakallah fik, allhamdulliah
Bado zamu yangu kukunyaka.Finally 😅, nimekunyaka
Toka saa saba mchana unasemaSoon napita
Huenda, tuliopo JF ndio tuliopo mtaani piaKama nakujua hivi🤔
Mm sitok leo shem. Nasikia mauvivu kama yote.Hebu nipitie tukanywe bia zetu huyu achana naye kwanza😁
Kweli naungana na mama mchungaji maandishi yako na wewe ulivyo ni tofautiBado zamu yangu kukunyaka.
We ulijuaje kwani🤣Huenda, tuliopo JF ndio tuliopo mtaani pia