Selfika na JF: Snap it. Show it

Kauli yako sio ngeni masikioni mwangu.. nishaambiwa sana hii kauli.. mtu anakuna anasema wewe, mambo yako na ulivyo TOFAUTI 🤣😂
Enzi nasoma walimu waliteseka sana. Linapigwa tukio mie naonekana nimo ila wanapinga sio kweli.
Mimi hata polisi tu hawakubali kama nimepiga mpiga debe iwe shule🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…