Tresor Mandala
JF-Expert Member
- Aug 20, 2010
- 45,429
- 95,934
Ewaa, umeumbwa ukaumbikaViliundwa na sir God [emoji126][emoji126]
Chochote kilichopo πEbu sema mtoto mzuri unataka nini?
Ukienda kulala niambie na mm niondoke hapaYuko hapa
We ni mzembe πππ[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa mbona hata mimi ambaye sijalala tu umeniachia manyoya??
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Depal uko mbeya?Hahaha...kiusingizi kilikupitia eeh tena cha Mbeya..Hatarious
SawaUkienda kulala niambie na mm niondoke hapa
MTC | 101| [emoji769]
Peace and love to you too dear sister.BLESS.
Hapana
Glory to God πEwaa, umeumbwa ukaumbika
MTC | 101| [emoji769]
Nikiamka nitawasalimia...GOAOooh, uko wapi uwasalimie huko
MTC | 101| [emoji769]
Chochote kilichopo π
GOA ,ndio wapi ? au GOA ni niniNikiamka nitawasalimia...GOA
Dah! Yaani a assume me ni safari au balimi ππUngeagiza mbili kwa mpigo kabisa, moja unaassume ndio bibie Depal kabisa.
Hahahaha, duh hizo bia mbn ngumu sanaDah! Yaani a assume me ni safari au balimi [emoji849][emoji849]
Dah! Yaani a assume me ni safari au balimi ππ
Geneva of AfricaGOA ,ndio wapi ? au GOA ni nini
MTC | 101| [emoji769]
ππππHahahaha, duh hizo bia mbn ngumu sana
MTC | 101| [emoji769]
Ipi hiyoItabidi assume wewe ni ile beer anayokunywa mwaka wa tisa huu.