Selikavu
JF-Expert Member
- Jul 14, 2017
- 15,060
- 33,755
Anakuja mtakuta kasoma zoteni kweli kabisa mi mwenyew nimemuita ila hatokei😥
Anakuja mtakuta kasoma zoteni kweli kabisa mi mwenyew nimemuita ila hatokei😥
siamini bwana labda athibitishe yeyeKwel edo mkubwa kwangu sio utani😃😃
Ukitaka kumpata mtumie ma mpenzi wake😂ni kweli kabisa mi mwenyew nimemuita ila hatokei😥
Mapenzi udalali🤣eddy unanidalalia mimi kweliiiii? nimelia
Warld chagua tusi fala wewe 😂🤣🤣🤣 unataka kumaanisha Razorblade ni kubwa jinga? mi simo kabisaaa
Muulize muda wa pillow talk😃siamini bwana labda athibitishe yeye
Afadhali ma mkali umeliona hili, wanavizia nikiwa sipo wananitusi hadharani.Kwahiyo Selikavu unaangalia tu baby anavyodahalilishwa
Kuja hapa
Mpenzi Veneranda😃😃Ukitaka kumpata mtumie ma mpenzi wake😂
Shikamoo brazaAfadhali ma mkali umeliona hili, wanavizia nikiwa sipo wananitusi hadharani.
aisee nimelia mpka kwikwi,, ujue alitakiwa anipigie prom ila cha ajabu ananididimiza 😪Mapenzi udalali🤣
Nipo primary account ipo jfKwel edo mkubwa kwangu sio utani😃😃
Muwe mnatoka efootball mnaona mpka ulimwengu unawashangaa😃😃Nipo kila siku mkuu.
Aagh! Kwahiyo ndo mistari uliyotumia kumvutia win-one haikutosha ukaona uniseme vibaya kuongezea nyama 😂😂😂Exactly 😂🤠😂🤠😂
KwishaaaUtamlipia bamtu wake😃
