Seran
JF-Expert Member
- Feb 7, 2025
- 28,796
- 83,739
We tupia sasa hivi baadae kuna nyomi!Zipo nyingi sana Humu,na baadae natupia tena,usilale
We tupia sasa hivi baadae kuna nyomi!Zipo nyingi sana Humu,na baadae natupia tena,usilale
Nalinda thread isiibiwehuyu ni usalama wa Jf😅😅😅
Ndio nataka kumuona staff mwenzangu😂huyu ni usalama wa Jf😅😅😅
Sikubaliani nawewe lolote mpaka upite!Uko vzr Mrembo
Hahahaha,tuendelee na jukumuNdio nataka kumuona staff mwenzangu😂
kwa kweli jamni tena saivi tupo watatu tuNdio apite hapa asilete habari za uongo na kweli..
Unakusanya habari huna lolote😂Nalinda thread isiibiwe
Volunteers 😆Hahahaha,tuendelee na jukumu
KwannFuta hii mamake picha yangu itoke humu sitaki taharuki😬
Sawa sawaVolunteers 😆
done sweeFuta hii mamake picha yangu itoke humu sitaki taharuki😬
nimecheka😅😅😅Unakusanya habari huna lolote😂
akijitupia unishtue sema staff mwenzio anaringaaa😅Ndio nataka kumuona staff mwenzangu😂
Ifutwe tu mambo yasiwe mengiKwann
We mtu gani makelele yote haya lkn hapitinimecheka😅😅😅
Labda ni mubaba anaogopa tusimuibe😬akijitupia unishtue sema staff mwenzio anaringaaa😅
Imeanza saa 3 kasoro jau sana bila wifi ningekuwa offline😂Hama huko🤣
aiii sasa mapedeshee wameanza kuogopa since when jamni 😄Labda ni mubaba anaogopa tusimuibe😬