Kwa mujibu wa maandiko matakatifu umri wa mwanadamu ni miaka 70 na akiwa na nguvu ni miaka 80 (pengine ni 700-800) baada ya hapo unaishi miaka ya ubatili Ukipewa hii Neema ya kuishi miaka hiyo, nguvu zinapokuishia mwilini na kuanza kukikaribia kifo hata mindset yako hubadilika... Hasa...