Labella
JF-Expert Member
- Jun 26, 2024
- 3,549
- 7,619
Uliona vile boss ametoa mchango wake 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] nilishapitaa mbonaa ktk uzi huo.
Ule uzi una balaa
Uliona vile boss ametoa mchango wake 😹😹😹[emoji23][emoji23][emoji23] nilishapitaa mbonaa ktk uzi huo.
😅Bora uende Barca hawa Madrid ndo wabovu kulko hata the Mandem wakoLabda nihamie Madrid.. mliobaki wote mkafie mbele 😀😀
Janja kuwa na adabu, majina mazito hayo sio kutaja kiwakiSawa kijukuu wa sabena.
Mkuu unazunguzmia Madrid kwenda misimu miwili bila ubingwa wa ligi na UEFA, vipi kuhusu manyumbu?Ivi kumbe mashabiki wa madrid mpo😅😅msimu wa pili kapa mtoen Mbappe kafara
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkuu unazunguzmia Madrid kwenda misimu miwili bila ubingwa wa ligi na UEFA, vipi kuhusu manyumbu?
Aliyekuwa na miaka 10 mara ya mwisho manyu kuchukua ubingwa sasahivi nae anasomesha [emoji23][emoji23][emoji23]
Mtafute kijanaSijui anatumia jina gani sasahivi hiyo alibadilisha kitambo 😂
Toka 😂Mtafute kijana
Amri sio ombi😂
Kijana najua unachopitia😂😂Toka 😂
Achana na mimi 😂🙌Kijana najua unachopitia😂😂
Sio bure😂🙌🏾
Tutume pesa maana ttcl yetu inasoma au wataka coin😂😂Achana na mimi 😂🙌
Mjanja wewe 😂🙌Tutume pesa maana ttcl yetu inasoma au wataka coin😂😂
Funguka kijana😂Mjanja wewe 😂🙌
Nipo likizo fupi 😂Funguka kijana😂