Countrywide
JF-Expert Member
- Mar 2, 2015
- 21,484
- 34,222
Namfahamu, sio jana wala leo ni miaka sasa. Jiepoushe na mahusiano au hata utani wa mahusiano na lgbt. Tanianeni vitu vingine lakini sio kuitana wapenzi, haijakaa sawa hiiKaribu selfika akiselfika nitakutagš
Sawa mkuu, Ila hadi hapa nakiri kuwa ushauri wangu umeupuuza. Kila la heri wewe na coca kwenye mahusiano yenu, mjaaliwe mpate na mtoto(Kama itawezekana)Nadhan ulielewa Replay yangu mkuu
Namfahamu, sio jana wala leo ni miaka sasa. Jiepoushe na mahusiano au hata utani wa mahusiano na lgbt. Tanianeni vitu vingine lakini sio kuitana wapenzi, haijakaa sawa hii
Iman yangu haijanifundisha kumjudge mtu kwa lolote lileSawa mkuu, Ila hadi hapa nakiri kuwa ushauri wangu umeupuuza. Kila la heri wewe na coca kwenye mahusiano yenu, mjaaliwe mpate na mtoto(Kama itawezekana)
Nimejaaš upo?
Ni kweli hatuko perfect lakini hii kuitana wapenzi haijakaa sawa mkuuIman yangu haijanifundisha kumjudge mtu kwa lolote lile
At the end we are just Human beings we ain't perfect no body is perfect
Onhoo kumbe!11, class 5
Kuna upendo zaidi ya huo?š kaaah
Michezo hiyo hebu tuliaKuna upendo zaidi ya huo?
MhmNimejaa
Najua kupenda, najua kudekeza piaMichezo hiyo hebu tulia
Sawaa mkuuNi kweli hatuko perfect lakini hii kuitana wapenzi haijakaa sawa mkuu
Huyo dogo nimehangaika nae miaka mingi kujaribu kumbadili japo ngumu lakini sijakata tamaa, sasa nikiona na nyie ambao mlipaswa kusaidia kumbadili Ila mnamuita mpenzi inakua inakatisha tamaa
Unampendaje mtu humjui? utakuja kupenda mizimuNajua kupenda, najua kudekeza pia
Hiyo mizimu ikiwa mizuri nayo naipenda tu wala hakuna shidaUnampendaje mtu humjui? utakuja kupenda mizimu
Ouyeaaaaah!!Sijui kama ulishawai thibitisha hilo ila nipo hapa kwa muda mrefu... Hili ni theory kama theory nyingine hakuna mwenye proof zaid yake Coca.. (sote tunajificha kwenye kivuli cha Id Fake)
Pili nashinda nae Selfika kwa kiasi kikubwa anavyoselfika nimekuwepo kwa muda mrefu huwa naziona kama ingekuwa otherwise na kile nilichokiamini ningekuwa nimeshaongea...
Tupo tu tunasongesha maisha mkuu maana mtaan kugumu kdg unakuja kupiga story huku... Nothing serious.... kuwa Jf tumechagua kuwa Anonymous ibaki hivyo mwisho wa siku uhalisia anabaki nao mhusika mkuu...
Nadhan nimejielezea position yangu mkuu[emoji120]
Mwenzako alikuomba uthibitisho kwa hayo madai yako, hujatihibitisha, unaishia kuweka maneno matupu.Namfahamu, sio jana wala leo ni miaka sasa. Jiepoushe na mahusiano au hata utani wa mahusiano na lgbt. Tanianeni vitu vingine lakini sio kuitana wapenzi, haijakaa sawa hii
Achana nae huyoo. Kuna kitu anatafuta mpuuze. LolIman yangu haijanifundisha kumjudge mtu kwa lolote lile
At the end we are just Human beings we ain't perfect no body is perfect
[emoji23][emoji23][emoji23] ila Cantri unachekesha hadi sio poaa. Poleee kwa kutesekaa Alooooh.Ni kweli hatuko perfect lakini hii kuitana wapenzi haijakaa sawa mkuu
Huyo dogo nimehangaika nae miaka mingi kujaribu kumbadili japo ngumu lakini sijakata tamaa, sasa nikiona na nyie ambao mlipaswa kusaidia kumbadili Ila mnamuita mpenzi inakua inakatisha tamaa
Coca lengo langu ni kukusaidia, kama hutaki msaada wangu ni bora useme kuliko kuanza kunipiga mikwara usiku usiku hivi au unataka nisilale?Mwenzako alikuomba uthibitisho kwa hayo madai yako, hujatihibitisha, unaishia kuweka maneno matupu.
Haya mueleze hapa jinsi unavyo nifahamu, nakupa ruksa na umpe picha zangu zilizo wazi, au laah umueleze nikoje ki muonekano.
Ili upate afueniii, hebu usivuke mipaka plz.