Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

nyumbani na ofisini huwa natembea peku kabisa, inategemea na mazingira pia. Hata hivi viatu kwangu naona vina kauzito japo vizuriView attachment 3588613
Pekua nimeshindwa kwa kweli, kuna event moja nilionana na Mrisho Mpoto, yeye yuko huru kutembea zake pekua

Kutembea pekua wanasema ni tiba hasa kwasisi umri uliotutupa mkono

Inaonekana unavaa raba mara nyingi kuliko aina nyingine ya viatu, binafsi Raba navaa weekend tu nikiwa nimetoka kwaajili ya moja moto/baridi ama nikiwa nasafiri hasa nikiwa naendesha mwenyewe
 
Pekua nimeshindwa kwa kweli, kuna event moja nilionana na Mrisho Mpoto, yeye yuko huru kutembea zake pekua

Kutembea pekua wanasema ni tiba hasa kwasisi umri uliotutupa mkono

Inaonekana unavaa raba mara nyingi kuliko aina nyingine ya viatu, binafsi Raba navaa weekend tu nikiwa nimetoka kwaajili ya moja moto/baridi ama nikiwa nasafiri hasa nikiwa naendesha mwenyewe
Mpoto level nyingi 😅

Yes kutembea peku ni tiba ( ila pia mazingira ya utembeaji peke ya kuzingatia ), kuna mazingira hayavutii kutembea peku na hata usalama wa miguu unakuwa mdogo.

Kwenye safari unafanya vizuri kuvaa raba, kwenye maji ya uzima kuvaa moko ungekuwa unajibana 😅

Japo mie kwenye kuendesha nakuwa na raba na sandals, naanza na raba nikichoka tu nakula sandals

Raba huwa nazipenda, moka huwa navaa siku yakitoea ya kutokea kwenye ofisi ambazo zina ustaarabu wa mavazi ( wanao zingatia mavazi )
 
Mpoto level nyingi 😅

Yes kutembea peku ni tiba ( ila pia mazingira ya utembeaji peke ya kuzingatia ), kuna mazingira hayavutii kutembea peku na hata usalama wa miguu unakuwa mdogo.

Kwenye safari unafanya vizuri kuvaa raba, kwenye maji ya uzima kuvaa moko ungekuwa unajibana 😅

Japo mie kwenye kuendesha nakuwa na raba na sandals, naanza na raba nikichoka tu nakula sandals

Raba huwa nazipenda, moka huwa navaa siku yakitoea ya kutokea kwenye ofisi ambazo zina ustaarabu wa mavazi ( wanao zingatia mavazi )
Kutembea peku binafsi huwa natembea ufukweni tu, kuna beach moja ya kulipia ndiyo huwa napenda kwenda, wakati watoto wanaogelea kwenye swimming pool yao, basi mimi na mama yao tunafanya mazoezi ya kutembea

Moka/raba ni nzuri sana safarini, open shoes huwa nakwepa kuzivaa kutokana na baadhi ya maaskari barabarani kuona ni kosa mtu kuendesha ukiwa umevaa sendo

Wanashauri bora kuendesha pekua kuliko sendoz
 
Kutembea peku binafsi huwa natembea ufukweni tu, kuna beach moja ya kulipia ndiyo huwa napenda kwenda, wakati watoto wanaogelea kwenye swimming pool yao, basi mimi na mama yao tunafanya mazoezi ya kutembea

Moka/raba ni nzuri sana safarini, open shoes huwa nakwepa kuzivaa kutokana na baadhi ya maaskari barabarani kuona ni kosa mtu kuendesha ukiwa umevaa sendo

Wanashauri bora kuendesha pekua kuliko sendoz
sandals huwa wanasema zina teleza au kunasa ( kwa usalama ) , ikitokea mazingira ya hatari inakuwa disaster.
 
Ndiyo walivyoniambia mara kadhaa, lakini kwaajili ya usalama wetu sio mbaya kutii

Lakini umbali wa Dsm - Tabora sio mchezo kuendesha ukiwa umevaa viatu tupu bila sandals
Yes, kwenye logic wapo sahihi nilishawai waza kwa kina katika taswira ya picha nikaona wapo sahihi, kushauri kuwa sandals sio salama hasa ukiwa kwenye mwendo mkali, na hasa wenye miguu inayotoa jasho zinateleza na ndio tatizo linaweza anzia tokea hapo.

DSM-TBR inabidi uwe na vituo kwa umri huu, lasivyo unajichosha sana. Zamani DSM-TBR ni safari ya siku moja tena nilikuwa natumia masaa 13 hadi 12. ila siku hizi DSM-TBR ni safari ya siku mbili na tena naendesha mchana tu, ikifika saa 11 jioni napaki gari
 
Yes, kwenye logic wapo sahihi nilishawai waza kwa kina katika taswira ya picha nikaona wapo sahihi, kushauri kuwa sandals sio salama hasa ukiwa kwenye mwendo mkali, na hasa wenye miguu inayotoa jasho zinateleza na ndio tatizo linaweza anzia tokea hapo.

DSM-TBR inabidi uwe na vituo kwa umri huu, lasivyo unajichosha sana. Zamani DSM-TBR ni safari ya siku moja tena nilikuwa natumia masaa 13 hadi 12. ila siku hizi DSM-TBR ni safari ya siku mbili na tena naendesha mchana tu, ikifika saa 11 jioni napaki gari
Hakika Mkuu, kila la heri Mzee mwenzangu 🥂
 
Back
Top Bottom