win-one
JF-Expert Member
- May 28, 2024
- 5,364
- 17,385
ofisin unatembea peku peku?nyumbani na ofisini huwa natembea peku kabisa, inategemea na mazingira pia. Hata hivi viatu kwangu naona vina kauzito japo vizuriView attachment 3588613
ofisin unatembea peku peku?nyumbani na ofisini huwa natembea peku kabisa, inategemea na mazingira pia. Hata hivi viatu kwangu naona vina kauzito japo vizuriView attachment 3588613
Natembea peku vizuri, cha kwanza nikiangia ofisini huwa navua viatu, ndio mambo mengine yaendlee. Kuvaa viatu mda mrefu siweziofisin unatembea peku peku?
aaah ofisi yako haitembelewi na watu?Natembea peku vizuri, cha kwanza nikiangia ofisini huwa navua viatu, ndio mambo mengine yaendlee. Kuvaa viatu mda mrefu siwezi
Pekua nimeshindwa kwa kweli, kuna event moja nilionana na Mrisho Mpoto, yeye yuko huru kutembea zake pekuanyumbani na ofisini huwa natembea peku kabisa, inategemea na mazingira pia. Hata hivi viatu kwangu naona vina kauzito japo vizuriView attachment 3588613
Kuingia watu ni nadra sana, unaweza kuta wiki nzima hajaingia hata mtu mmoja ofisini zaidi ya mfanya usafiaaah ofisi yako haitembelewi na watu?
hapo sawa,, eh location ya leo ni wapi? tupia kidog nione mandhari😋Kuingia watu ni nadra sana, unaweza kuta wiki nzima hajaingia hata mtu mmoja ofisini zaidi ya mfanya usafi
Mpoto level nyingi 😅Pekua nimeshindwa kwa kweli, kuna event moja nilionana na Mrisho Mpoto, yeye yuko huru kutembea zake pekua
Kutembea pekua wanasema ni tiba hasa kwasisi umri uliotutupa mkono
Inaonekana unavaa raba mara nyingi kuliko aina nyingine ya viatu, binafsi Raba navaa weekend tu nikiwa nimetoka kwaajili ya moja moto/baridi ama nikiwa nasafiri hasa nikiwa naendesha mwenyewe
😁😁 Kwani pale hupajui na wewe, ile mitaa yako mtu mzito wewe na useme hupajui. Nikiamka jioni kupata kashata nitakupandisha za kutoshahapo sawa,, eh location ya leo ni wapi? tupia kidog nione mandhari😋
Kutembea peku binafsi huwa natembea ufukweni tu, kuna beach moja ya kulipia ndiyo huwa napenda kwenda, wakati watoto wanaogelea kwenye swimming pool yao, basi mimi na mama yao tunafanya mazoezi ya kutembeaMpoto level nyingi 😅
Yes kutembea peku ni tiba ( ila pia mazingira ya utembeaji peke ya kuzingatia ), kuna mazingira hayavutii kutembea peku na hata usalama wa miguu unakuwa mdogo.
Kwenye safari unafanya vizuri kuvaa raba, kwenye maji ya uzima kuvaa moko ungekuwa unajibana 😅
Japo mie kwenye kuendesha nakuwa na raba na sandals, naanza na raba nikichoka tu nakula sandals
Raba huwa nazipenda, moka huwa navaa siku yakitoea ya kutokea kwenye ofisi ambazo zina ustaarabu wa mavazi ( wanao zingatia mavazi )
sandals huwa wanasema zina teleza au kunasa ( kwa usalama ) , ikitokea mazingira ya hatari inakuwa disaster.Kutembea peku binafsi huwa natembea ufukweni tu, kuna beach moja ya kulipia ndiyo huwa napenda kwenda, wakati watoto wanaogelea kwenye swimming pool yao, basi mimi na mama yao tunafanya mazoezi ya kutembea
Moka/raba ni nzuri sana safarini, open shoes huwa nakwepa kuzivaa kutokana na baadhi ya maaskari barabarani kuona ni kosa mtu kuendesha ukiwa umevaa sendo
Wanashauri bora kuendesha pekua kuliko sendoz
Ndiyo walivyoniambia mara kadhaa, lakini kwaajili ya usalama wetu sio mbaya kutiisandals huwa wanasema zina teleza au kunasa ( kwa usalama ) , ikitokea mazingira ya hatari inakuwa disaster.
Yes, kwenye logic wapo sahihi nilishawai waza kwa kina katika taswira ya picha nikaona wapo sahihi, kushauri kuwa sandals sio salama hasa ukiwa kwenye mwendo mkali, na hasa wenye miguu inayotoa jasho zinateleza na ndio tatizo linaweza anzia tokea hapo.Ndiyo walivyoniambia mara kadhaa, lakini kwaajili ya usalama wetu sio mbaya kutii
Lakini umbali wa Dsm - Tabora sio mchezo kuendesha ukiwa umevaa viatu tupu bila sandals
Hakika Mkuu, kila la heri Mzee mwenzangu 🥂Yes, kwenye logic wapo sahihi nilishawai waza kwa kina katika taswira ya picha nikaona wapo sahihi, kushauri kuwa sandals sio salama hasa ukiwa kwenye mwendo mkali, na hasa wenye miguu inayotoa jasho zinateleza na ndio tatizo linaweza anzia tokea hapo.
DSM-TBR inabidi uwe na vituo kwa umri huu, lasivyo unajichosha sana. Zamani DSM-TBR ni safari ya siku moja tena nilikuwa natumia masaa 13 hadi 12. ila siku hizi DSM-TBR ni safari ya siku mbili na tena naendesha mchana tu, ikifika saa 11 jioni napaki gari
sawaaa ila usisahau ratiba ya kesho ni mwendo wa zile choma😎😁😁 Kwani pale hupajui na wewe, ile mitaa yako mtu mzito wewe na useme hupajui. Nikiamka jioni kupata kashata nitakupandisha za kutosha
kama kawaida zinavyokuwa tamu, nitaazima tumbo lako, nifanye extension walahi 😅😅sawaaa ila usisahau ratiba ya kesho ni mwendo wa zile choma😎
Naona shingo ya mpiraCalling it a day 🐒🐒
Kweli wajukuu ninao 😉
Ndo ikoje hioo?? Mie kiswahili nilifeligi ujueNaona shingo ya mpira
Shingo ina nyama halafu imekatikakatikaNdo ikoje hioo?? Mie kiswahili nilifeligi ujue