Tumchape na 6 digtπππΎAtupe lipa namba ya TTCL nae
ShemπππΎUna haribu asubuhi tu vijana na papala heee pooza kwanza engine hiyo πββοΈπ
I wish yoooo mambo ya mwaka 47 utakua utalii muruaHahaha...........ukija kuniletea kiko nitakuruhusu umwone π
Nisamehewe nimekunywa π» moja tu sijazidishaWe mwanangu, tumfanyaje huyu sheisriseπ
Sasa je 28jokah899ShemπππΎ
Nipe lipa no ya TTCL kabla sijatoka kwa wakala au mpe selikavu.
Hapo utishoπ₯ππΎSasa je 28jokah899
Fanya kweli
Najua haijakitosha πNisamehewe nimekunywa π» moja tu sijazidisha
Castle_Lite uwe unapita na huku ujionee kwa macho sitaki uanze kunisumbua na maswali yako ya "nikweli unafanana na remi ongala" am tiredπππππ
nimekutag weeeeeeee ila haujatokea sijui ulikua wapi π€Sawa black beauty wa kinyarwanda.
Uwe una ni-tag. tafadhali sana nakuomba.ππππ
hii ni lugha gani?Sasa je 28jokah899
Fanya kweli
Nimeona ile smsmbona umebadili gia angani kulikoniππ
Hiyo lipa no nimempa shem ili niongeze bia niwapishe πhii ni lugha gani?
looooh kwahiyo umeniuza?π€Nimeona ile sms
imethibitishwa ππ
Mtu asinunuliwe bia jamani ππlooooh kwahiyo umeniuza?π€
Napendea wepesi wake , ingekuwa inawezekana ningekuwa natembea peku kabisa .Of course they should be
Kwasisi tuliokula chumvi nyingi kidogo, raba ni muhimu sana kuvaa kuliko aina nyingine ya viatu kutokana na urahisi wake (kutokuwa vizito miguuni)
Hakika MkuuNapendea wepesi wake , ingekuwa inawezekana ningekuwa natembea peku kabisa .
nyumbani na ofisini huwa natembea peku kabisa, inategemea na mazingira pia. Hata hivi viatu kwangu naona vina kauzito japo vizuriHakika Mkuu
Kutembea pekupeku nimeshindwa japo zamani niliwahi kuweza, nahisi hii kuvaa viatu muda mwingi kuna fanya unyayo kuwa laini hivyo kushindwa kustahimili kutembea peku
ofisin unatembea peku peku?nyumbani na ofisini huwa natembea peku kabisa, inategemea na mazingira pia. Hata hivi viatu kwangu naona vina kauzito japo vizuriView attachment 3588613