ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 17,041
- 40,211
Mimi ndio wale hamfiki mbali tumekaa pale 🫴Dadeq😂😂 na selikavu unaunga hili we sio mwema.
Mimi ndio wale hamfiki mbali tumekaa pale 🫴Dadeq😂😂 na selikavu unaunga hili we sio mwema.
Appreciate that brotherAnytime champ
Hahaha...........ukija kuniletea kiko nitakuruhusu umwone 😜Hebu huyo chawa nimuone napenda kucheza na koti la babu lenye chawa
Wajumbe wajumbe once again😃😃Mimi ndio wale hamfiki mbali tumekaa pale 🫴
Ewaaaa😃😃mwiko wa kuchungulia mishangazi😄😄
unakabia kwa juu sana,, huyo eddy mi namchukua kwa kazi moya tuu kuhusu kwenda labour kunae mwingine😄😄
Huyo kijana wako nasikia yeye hata akipapasa paja analizika maana hajui kitu win-one usione aibu kumwelekeza Edo atazoea🏃♀️🏃♀️🏃♀️Wote wawili unfortunately kwa upande wa boys hatuna neno maarufu kama upande wenu kama kuvunja ungo
We mwanangu, tumfanyaje huyu sheisrise😂All day nipo upande wako😃😃
nishakuwahi ila unataka ukachovye kwingine? nimeumia sanaAu nianze na wewe uje na ushuhuda humu🤔
Astghafirullah mi ni shem shemAu nianze na wewe uje na ushuhuda humu🤔
Hana adabu huyu mwambie kua ni shem shem 😅nishakuwahi ila unataka ukachovye kwingine? nimeumia sana
kweli umeambukizwa ulozi sio bure😄😄😄Mimi ndio wale hamfiki mbali tumekaa pale 🫴
🤣🤣🤣🤣Ila kakaAu nianze na wewe uje na ushuhuda humu🤔
sikuhizi wana elewa basi?😄Hana adabu huyu mwambie kua ni shem shem 😅
😎🤏🏾Nitakurudia baadae nikienda kunywa na babu ushimen😂🙌🏾Mimi ndio wale hamfiki mbali tumekaa pale 🫴
Kakazia mno ujue😂🙌🏾🤣🤣🤣🤣Ila kaka
Umesahu dad ni mlozi basi lakini mtafika mbalikweli umeambukizwa ulozi sio bure😄😄😄