π»π»π»π»π» woooww
Aghaaaβ€οΈππ»π»π»π»π» woooww
Edo kama Edo awwwww uko muhanshamu π₯π₯
JF ina wakaka wazuri afu wa mwaka wa mbele..!!
Aiseee Edo umeoa?
Mbona km vitu vyangu kabisaa..!! ππ
πΉπΉπΉ Ni kugongwa maswali, ukipita kifuatacho ni kuacha bond ya 20M ili ukizamia ujue mpunga wako umeyeya..!!π€£π€£π€£mwanetu ile haina cha kujuana wala nn
Demu wako mnafki hajui vitu vizuri..!!Aghaaaβ€οΈπ
You the first to say this. Au dem wangu mnafikiπππΎ
Ngoja nikuache huku hapafai kukukamia ππNajaaje mkuu acha zakoπ
ππHuwezi sio hapafai.Ngoja nikuache huku hapafai kukukamia ππ
Mie mwema ππππHuwezi sio hapafai.
Au basi kweli hapafaiππΎ
Screeshot takenπ―Demu wako mnafki hajui vitu vizuri..!!
Gentleman km wewe hata kufokewa haitakiwi..!! πΉπΉ
Nakujua mkuu huo ubinadamu we hunaππΎMie mwema ππ
π€£π€£π€£π€£π€£Niko njema kabisa, sasa naingia kufanya nini humu na wakati mshangazi wangu kuwa active kwa manati na kutumia VPN kuna changia kutoingia mara kwa mara humu.
Huwezi kosa hata ya bahati mbaya π
π€£π€£babu wa toleo la gen ZBila wasiwasi mjukuu, bado nipo nje kumngoja mgeni wangu π
Shaka ondoaGrahams babu natumai mzigo wangu utampa tayana π
Hela wavhukue tu sio caseπΉπΉπΉ Ni kugongwa maswali, ukipita kifuatacho ni kuacha bond ya 20M ili ukizamia ujue mpunga wako umeyeya..!!
Tayana bado hajafika?Bila wasiwasi mjukuu, bado nipo nje kumngoja mgeni wangu π
Sasa ole wako ulete issue km za korosho mpk leo mmeniachia manyoya..!! πΉπΉπΉShaka ondoa
Upo mikono salamaπ€£π€£
Ndio ujieleze vizuri na uwe na sababu ya kueleweka unaenda kufanya nini huko..!!Hela wavhukue tu sio case
Ila muhim kuondoka malawiπ€£π€£π€£