Japo hujatutumia yako nawe tujioneekwa kweli jamniππ
unakula kwa macho alf unameza kwa hisiaπππππ pole sanaKwa kweli wazee hatuna bahati kabisa, tungekuwa tuna meno tungejitahidi hata kidogo....ila kwa uzee huu ni kula kwa macho tu π
nishaselfika mara kibao babu, ila wew ndo hauja thubutu, hebu tupia hata mkono wajukuu tupate baraka zakoπJapo hujatutumia yako nawe tujionee
Au huna huruma na wazee tumekuwa macho hadi muda huu na tusione kitu π
Yaani we acha tu...unakula kwa macho alf unameza kwa hisiaπππππ pole sana
situpii mpaka uanze wew babuπ€πYaani we acha tu...
Hapa nimeandaa miwani yangu vizuri incase ukatupiamo moja ili babu yako nione
π€£π€£π€£Hapa akija muoaji, bila koti la babu kutoka Italy siruhusu mjukuu kuolewa
Mjukuu anaweza kufanya wazee tupoteze network kabisaπ
Basi sina bahatinishaselfika mara kibao babu, ila wew ndo hauja thubutu, hebu tupia hata mkono wajukuu tupate baraka zakoπ
Kesho nitatupia, ila kwasasa fanya unibless babu yakositupii mpaka uanze wew babuπ€π
Siwezi kukosa koti la babu kutoka Italy, maana kusema kweli yaliyomo yamo ππ€£π€£π€£
Picha zake ninazo kama hakutumii kwa hiari mi natupiaKesho nitatupia, ila kwasasa fanya unibless babu yako
Bora ufanye hivyo mjukuuPicha zake ninazo kama hakutumii kwa hiari mi natupia
Ataniua aiseeeBora ufanye hivyo mjukuu
Nimevaa tayari miwani ujue π
ya kale yashapita mi nataka currently bwanaBasi sina bahati
Self zangu zipo humu za kutosha, ukitembelea pg 17,453 utazikuta ama ukiweza sogea hadi pg 19,320 hivi utakuta
Bab mnafiki huyuπ€£π€£Siwezi kukosa koti la babu kutoka Italy, maana kusema kweli yaliyomo yamo π
πππ hata tukiyapiga msasa hayafanyi kazi hata kidogo?Yangu yamezeeka kabisa yani mjukuu!
πππππPicha zake ninazo kama hakutumii kwa hiari mi natupia
Hakuna haja ya kusema uongo kwenye hilo, yaliyomo yamo mjukuuBab mnafiki
Yamechoka sana, hayafai kabisa ku-repair!πππ hata tukiyapiga msasa hayafanyi kazi hata kidogo?
tuishi leo babuKesho nitatupia, ila kwasasa fanya unibless babu yako