Selfika na JF: Snap it. Show it

 
Sidhani kama ntatoboa make saivi nakula mara tatu ya chakula nilichokuwa nakula mwanzo if not that ikiwa chakula kidogo kidogo but ntakula several times a day! Mtoto ni ananyonya sana kiasi Kwamba muda mwingi nahisi njaa inayonilazimu kula.
Kama unanyonyesha hauna ujanja, matiti yatapungua ukimaliza kunyonyesha ila tumbo sijui
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ