Selfika na JF: Snap it. Show it

[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona mambo hiya hiya!! Hadi nywila ya JF D kapewa, watu wana kismati chao Mjini hapa.
Nacheka km mazuriii vilee, [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hilo liubuyu ninalo kitambo mi nikose file km hilo thubutuuu..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Sema D atakuwa na mpodido mtramu mana jana CT kamlilia sana na simu haziishi kwa D kumplizz..!! ๐Ÿ˜ฅ

Church boy wapi unaambiwa anawapakia vumbi la Kongo na yeye ndo kamjaza fake p alimlipue D ๐Ÿคฃ

Yani km kipindi kile kwa miongozo yamejirudia tena ila safari hii D ndo main chick..!! ๐Ÿ˜น
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Mbona mambo hiya hiya!! Hadi nywila ya JF D kapewa, watu wana kismati chao Mjini hapa.
Nacheka km mazuriii vilee, [emoji23][emoji23][emoji23]
D mganga wake anampa kitu anachotaka, sio mimi bahili naagizwa mbuzi napeleka kuku broiler ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Mganga analipua dawa hazimfikii mlengwa zinaishia chalinze zinaendelea na mambo yake..!!! ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Uduguu tupeleke waganga wanavyovitaka tutaachwa kila siku na midomo yetu..!! ๐Ÿคฃ
 
alaah coca ndio napokupendea hapo ๐Ÿคฃ
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Ila D anajua kuwachachafyaa wanaume wa humu, sijui anawapaga nini yaani, sasa yeye CH amtume fake P amlipue D, kwamba kamchoka au?

Ila Fake P nae, ukamanda wote huo alilie mkuyenge? Huko kambini hajawaona MPs wenzie? Aaah anaua brand bhanaa.

Uduguu ko CH anawapakia mkongo? Akati unaambiwa mwenzio ni artists wa Tenzi za rohoni, na wanaimbiana na D.[emoji23][emoji23][emoji23]

Jamaniiiii D na Fake P em mkuje hapa kutueleza kwa undani, wambea na watunza masijara ya umbea wa JF ndo tuko hapa Liveee.
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaaaa!! Kwa kweli D afanye kutupeleka kwa mganga wake, maana kanyooka hana kona kona wala bumps.
Chezea Weyeeee. [emoji23][emoji23][emoji23]

Majiraniiii hukuuu.
 
Kamanda haelewi dyudyu limemkolea gwanda katupa..!!

CT naye ni baka ila kakolea kwa D huku hataki kumuachia P ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Eehh ndio anawapakia mkongo ili kuwapagawisha ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿคฃ
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaaaa!! Kwa kweli D afanye kutupeleka kwa mganga wake, maana kanyooka hana kona kona wala bumps.
Chezea Weyeeee. [emoji23][emoji23][emoji23]

Majiraniiii hukuuu.
Atupeleke mana sio kwa kuwashika masikio wanaume huku JF ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
[emoji23][emoji23][emoji23]
Nimechekaaaa!! Kwa kweli D afanye kutupeleka kwa mganga wake, maana kanyooka hana kona kona wala bumps.
Chezea Weyeeee. [emoji23][emoji23][emoji23]

Majiraniiii hukuuu.
Hakuna uganga ni utamu tu ๐Ÿ˜‚

Asubuhi Fake alituma kapicha kwenye reply, ila mod wakapita nako ila ilikua mdada brown skin ana dimpoz, sasa sijui huyo ni D au F au ni mtu random tu.
 
Kamanda haelewi dyudyu limemkolea gwanda katupa..!!

CT naye ni baka ila kakolea kwa D huku hataki kumuachia P [emoji81][emoji81][emoji81]

Eehh ndio anawapakia mkongo ili kuwapagawisha [emoji81][emoji81][emoji1787]
[emoji23][emoji23][emoji23] ila D anajuaga kuyatindinginyua mapenzi ya watu. Ko kaingia anga za wajeda haogopi Doso na kwata??

Fake P aache hizo, yeye a focus na mambo yake, mbona easy sana.
ila D ni kibokooo!! Ananyoosha tUuh wenzie. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Atupeleke mana sio kwa kuwashika masikio wanaume huku JF [emoji81][emoji81][emoji81]
[emoji23][emoji23][emoji23] uduguu nacheka kwa sauti hapaa ujue. Mbona kawashika hadi zaga (1200)
Hawasikii wala hawaoni kwa Dada Debora. [emoji23][emoji23][emoji23]
 
Hakuna uganga ni utamu tu ๐Ÿ˜‚

Asubuhi Fake alituma kapicha kwenye reply, ila mod wakapita nako ila ilikua mdada brown skin ana dimpoz, sasa sijui huyo ni D au F au ni mtu random tu.
Huyo ni D ana dimple na macho makubwa ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Fake p mchokozi, D naye akileta pic zake mzani utakuwa umebalance..!!
 
Huyo ni D ana dimple na macho makubwa [emoji81][emoji81]

Fake p mchokozi, D naye akileta pic zake mzani utakuwa umebalance..!!
[emoji23][emoji23][emoji23] udugu Debora ana macho makubwaa?? Una dhambi weweee ujue.
Hayo macho ndo yanawachanganya wanaume wa JF, akiyaweka kope na kungumanga ni balaaa [emoji91][emoji91]
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Anawapelekea moto mashangazi sio pouwa..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Hadi mjeda kafikiwa famchezo ๐Ÿคฃ

Fake p aachane naye hiyo veepee?
Kwani yeye hataki kusuguliwa ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Unaambiwa bwana anazo mbili na anapaka vumbi afu wanamuachaje hapo?? ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น

Bora mimi babe wangu sekunde chali nguvu za kuku hawamtaki hata bureeee ๐Ÿคฃ๐Ÿ˜น

CT anipe jina la vumbi nimpe huenda naye akagombewa khaaaa..!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ