ShesRise_1
JF-Expert Member
- Aug 21, 2025
- 7,361
- 17,953
Mom like mother like daughter 🔥Sina hata picha ya kueleweka nimevimbiana tu😫
Mom like mother like daughter 🔥Sina hata picha ya kueleweka nimevimbiana tu😫
Hapo nimepungua sanaa sema suuu tena niweke ya zamani uzimie 😁😁Afadhali mama na mwana hatupishani uwee nusu nianguke na sukari😅
We mzee unataka wafukua makaburi waingie mzigoni?Ewaaa sasa subiri kidogo usifute Kwanza kama wengineView attachment 3572059
Kumbe ndio maana chenj adimu
watu mmebarikiwa humu ndani ni balaaa,, 😍 yule nyau alosema Jf hakuna wadada akamatwe afungwe kengeleMom ona
Hebu weka aisee sikubali kuteseka na uzito pekeangu!Hapo nimepungua sanaa sema suuu tena niweke ya zamani uzimie 😁😁
nimekuona gal,, uko hot mnooTayali
Mleteni tumuekee vijiti kwa kikojoleo😀watu mmebarikiwa humu ndani ni balaaa,, 😍 yule nyau alosema Jf hakuna wadada akamatwe afungwe kengele
chai ya rangiHahahaha.. Waambie hao waoaji🥵🤬View attachment 3572065
hebu mueleze atutolee mabalaa jamni 😪We mzee unataka wafukua makaburi waingie mzigoni?
Baba yuko serious sana!Hahahaha.. Waambie hao waoaji🥵🤬View attachment 3572065
ndio nilitengeneza picha nzuri lakini imekuja nzuri zaidi..Kumbe? Kwamba ulikuwa ushajitengenezea picha yako sio?
Acha basii😂Asiwekeeee😆
Usiwe unafanya hivyo mkuu!ndio nilitengeneza picha nzuri lakini imekuja nzuri zaidi..