Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi ni miongoni mwa wavivu wa kuandika....hata shuleni nilikuwa naandika mara chache sana

Niandikie watu ubaoni mwalimu anakuwa nafanya nini?😂😂
Yani nimfanyie kazi yake?
Hongera umesoma shule za walimu wanajua majukumu yao mimi nimeandika sana ubaoni ilibidi nikatae uwongozi wa darasa kuepuka usumbufu wa kuandika ubaoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…