Wewe na dr.marimposa lazima mbadilike, ni ngumu lakini inawezekana. Hata battery ya gari lazima terminal zikae kwenye hasi na chanya ndio gari iwake, nyie mnafosi terminal zote kwenye hasi, gari itawakaje?
Namba yako nliifuta baada ya kupata taarifa tunakaguliwa simu zetu. Nlihofia usije nawewe ukakamatwa maana wewe ndio muhamasishaji mkuu wa maandamano. π ngoja niangalie namna nikuunge hata bando la mwezi mzima.
Wewe na dr.marimposa lazima mbadilike, ni ngumu lakini inawezekana. Hata battery ya gari lazima terminal zikae kwenye hasi na chanya ndio gari iwake, nyie mnafosi terminal zote kwenye hasi, gari itawakaje?