ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,262 Oct 9, 2025 #406,201 Mwachiluwi said: Kumbe mnene 🤭 Click to expand... Halafu mwenyewe najiona model🤣
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Oct 9, 2025 #406,202 ephen_ said: Halafu mwenyewe najiona model🤣 Click to expand... Makosa makubwa hayo anza kupungua kula vyakula vya kusikia njaa tu
ephen_ said: Halafu mwenyewe najiona model🤣 Click to expand... Makosa makubwa hayo anza kupungua kula vyakula vya kusikia njaa tu
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,696 Reaction score 131,819 Oct 9, 2025 #406,203 Mwachiluwi said: Kumbe mnene 🤭 Click to expand... Kg zinaweza kuwa nyingi na mtu asiwe mnene
Seran JF-Expert Member Joined Feb 7, 2025 Posts 12,208 Reaction score 36,128 Oct 9, 2025 #406,204 min -me said: Kama zile zako nzuri sana , hapo sawa ila ageuke kidogo . Click to expand... Si kama hizi au?
min -me said: Kama zile zako nzuri sana , hapo sawa ila ageuke kidogo . Click to expand... Si kama hizi au?
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Oct 9, 2025 #406,205 min -me said: Kg zinaweza kuwa nyingi na mtu asiwe mnene Click to expand... Miguu ina onyesha lakin
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,262 Oct 9, 2025 #406,206 Mwachiluwi said: Makosa makubwa hayo anza kupungua kula vyakula vya kusikia njaa tu Click to expand... Mwili wa wastani, itakua mifupa hii mizito Dada angu ana kg 100+ na sio kibonge
Mwachiluwi said: Makosa makubwa hayo anza kupungua kula vyakula vya kusikia njaa tu Click to expand... Mwili wa wastani, itakua mifupa hii mizito Dada angu ana kg 100+ na sio kibonge
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,375 Reaction score 80,246 Oct 9, 2025 #406,207 ephen_ said: Usinikumbushe machungu! Jana nimelia Bassel kaniliza Click to expand... Kafa au? Sema kile ki aliya Kila nikikatazama nasikia Raha vibaya mno 😎
ephen_ said: Usinikumbushe machungu! Jana nimelia Bassel kaniliza Click to expand... Kafa au? Sema kile ki aliya Kila nikikatazama nasikia Raha vibaya mno 😎
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,262 Oct 9, 2025 #406,208 Mwachiluwi said: Miguu ina onyesha lakin Click to expand... Kama nina mguu wa bia je😂
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Oct 9, 2025 #406,209 Seran said: View attachment 3485863 Si kama hizi au? Click to expand... Shemeji na wewe una mvesha sare za vitenge 😁
Seran said: View attachment 3485863 Si kama hizi au? Click to expand... Shemeji na wewe una mvesha sare za vitenge 😁
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,375 Reaction score 80,246 Oct 9, 2025 #406,210 ephen_ said: Urefu wangu natakiwa kupunguza kg 20😎 Click to expand... 😃😀😀Dah!
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,696 Reaction score 131,819 Oct 9, 2025 #406,211 Seran said: Yani ngoja nikipiga picha nimevaa kama gunia, ana bahati kanisani kwetu Tunavaa suruali pia.. Click to expand... 😅 kiukweli napenda mdada avae sketi ndefu , pia akipiga na ushungi anakaa poa sana 🤗
Seran said: Yani ngoja nikipiga picha nimevaa kama gunia, ana bahati kanisani kwetu Tunavaa suruali pia.. Click to expand... 😅 kiukweli napenda mdada avae sketi ndefu , pia akipiga na ushungi anakaa poa sana 🤗
100 others JF-Expert Member Joined Aug 5, 2017 Posts 8,791 Reaction score 30,985 Oct 9, 2025 #406,212 min -me said: Kg zinaweza kuwa nyingi na mtu asiwe mnene Click to expand... Hivi huwa inasababishwa na nini? Watu tunaolingana body size wengi nawazidi Kg mbali, hata wengine wana body size kubwa..
min -me said: Kg zinaweza kuwa nyingi na mtu asiwe mnene Click to expand... Hivi huwa inasababishwa na nini? Watu tunaolingana body size wengi nawazidi Kg mbali, hata wengine wana body size kubwa..
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Oct 9, 2025 #406,213 ephen_ said: Kama nina mguu wa bia je😂 Click to expand... Lazima hapo kiunoni napo panenepe kidogoo kulingana na size ya mguu
ephen_ said: Kama nina mguu wa bia je😂 Click to expand... Lazima hapo kiunoni napo panenepe kidogoo kulingana na size ya mguu
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,262 Oct 9, 2025 #406,214 Vincenzo Jr said: Kafa au? Sema kile ki aliya Kila nikikatazama nasikia Raha vibaya mno 😎 Click to expand... Hajafa! Anamlilia faith, na faith ana mimba ya Jawad Bassel anampenda sana faith kuliko Jawad
Vincenzo Jr said: Kafa au? Sema kile ki aliya Kila nikikatazama nasikia Raha vibaya mno 😎 Click to expand... Hajafa! Anamlilia faith, na faith ana mimba ya Jawad Bassel anampenda sana faith kuliko Jawad
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Oct 9, 2025 #406,215 ephen_ said: Mwili wa wastani, itakua mifupa hii mizito Dada angu ana kg 100+ na sio kibonge Click to expand... Ohhh duh kg 100 hatari sana
ephen_ said: Mwili wa wastani, itakua mifupa hii mizito Dada angu ana kg 100+ na sio kibonge Click to expand... Ohhh duh kg 100 hatari sana
ephen_ JF-Expert Member Joined Oct 28, 2022 Posts 16,787 Reaction score 61,262 Oct 9, 2025 #406,216 100 others said: Hivi huwa inasababishwa na nini? Watu tunaolingana body size wengi nawazidi Kg mbali, hata wengine wana body size kubwa.. Click to expand... Mifupa
100 others said: Hivi huwa inasababishwa na nini? Watu tunaolingana body size wengi nawazidi Kg mbali, hata wengine wana body size kubwa.. Click to expand... Mifupa
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,375 Reaction score 80,246 Oct 9, 2025 #406,217 ephen_ said: Hajafa! Anamlilia faith, na faith ana mimba ya Jawad Bassel anampenda sana faith kuliko Jawad Click to expand... Jawad muhuni muhuni sana Hana tofauti na yule ndugu yake aliekula beki tatu
ephen_ said: Hajafa! Anamlilia faith, na faith ana mimba ya Jawad Bassel anampenda sana faith kuliko Jawad Click to expand... Jawad muhuni muhuni sana Hana tofauti na yule ndugu yake aliekula beki tatu
min -me JF-Expert Member Joined Jul 20, 2022 Posts 47,696 Reaction score 131,819 Oct 9, 2025 #406,218 100 others said: Hivi huwa inasababishwa na nini? Watu tunaolingana body size wengi nawazidi Kg mbali, hata wengine wana body size kubwa.. Click to expand... Kuna watu wana mifupa yenye maumbo makubwa tu , kg zao zinakua nyingi kutokana na structure ya mifupa yao .
100 others said: Hivi huwa inasababishwa na nini? Watu tunaolingana body size wengi nawazidi Kg mbali, hata wengine wana body size kubwa.. Click to expand... Kuna watu wana mifupa yenye maumbo makubwa tu , kg zao zinakua nyingi kutokana na structure ya mifupa yao .
Mwachiluwi JF-Expert Member Joined Mar 10, 2022 Posts 33,586 Reaction score 66,282 Oct 9, 2025 #406,219 ephen_ said: Hajafa! Anamlilia faith, na faith ana mimba ya Jawad Bassel anampenda sana faith kuliko Jawad Click to expand... Fey ana tamaa ana visasi vya kijinga sana asee ana umiza watu wengi kwa wakat mmoja kulikuwa na haja gani ya yeye kwenda kuchunguza aliya mama yake nan?
ephen_ said: Hajafa! Anamlilia faith, na faith ana mimba ya Jawad Bassel anampenda sana faith kuliko Jawad Click to expand... Fey ana tamaa ana visasi vya kijinga sana asee ana umiza watu wengi kwa wakat mmoja kulikuwa na haja gani ya yeye kwenda kuchunguza aliya mama yake nan?
Vincenzo Jr Platinum Member Joined Sep 23, 2020 Posts 32,375 Reaction score 80,246 Oct 9, 2025 #406,220 ephen_ said: Mifupa Click to expand... Umefuta sijaona anko 😃😀