Selfika na JF: Snap it. Show it

Wewe mwenyewe una matusi
Sure nime amua kutumia matusi coz nimegundua hawa digi digi wa humu bila kuwatukana hawafurahi , sasa kama juzi kuna mbwiga sijui hata katokea wapi kwanz I'd yake ya 2007 huko eti ananitisha ananifahamu na anaomba vita na mimi na familia yangu haitakua salama , ile siku nilimtukana vibaya sana na mods wangeona kabla sijafuta ingekua kisanga🀣
 
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Kaka mimi napiga tizi kama chizi , pia nakula pombe na wewe hauwezi gundua kama mimi nakula pombe kwa mtazamo tu
Sio mbaya kama unapiga tizi..... kwa urefu huo na hizo kgs bado hauko pabaya.... ! Mm Mara chache mno wkend naweza gusa moja baridi moja moto....hapa nna miez sijagusa πŸ˜ƒ
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…