kitalembwa
JF-Expert Member
- Jul 12, 2014
- 7,820
- 20,807
Sio mbaya kama unapiga tizi..... kwa urefu huo na hizo kgs bado hauko pabaya.... ! Mm Mara chache mno wkend naweza gusa moja baridi moja moto....hapa nna miez sijagusa πKaka mimi napiga tizi kama chizi , pia nakula pombe na wewe hauwezi gundua kama mimi nakula pombe kwa mtazamo tu
Mwili unaupongeza kila siku sio π πMimi nagusa kila siku nikiwa free bwashee, toka nimeingia kwenye uhuru wa kipato siwazi kabisaπ π na hii comment yangu kuna nyumbu watatoka povuππ
Sure ka madam kangu ka rafikiUnaniamini 100%?
Huna akiliSure ka madam kangu ka rafiki
Najua ndio tusi lako lililo bakiaHuna akili
Shindii acha kujiongezea umriπ€£π€£ephen_ Vincenzo Jr Chica Gee Mahondaw Atoto binti kiziwi
Now nimepunguza kg 3 kwa miezi miwili urefu sm 187 umri 39, kg 77 now .
View attachment 3485685
Shindii ndio umri wangu halisi , mlevi mimiπ€£Shindii acha kujiongezea umriπ€£π€£
Thubutu yako. Huvuki 33.Shindii ndio umri wangu halisi , mlevi mimiπ€£
π kwahiyo unajidai, mimi sijawahi kufika kg 54 toka nizaliweπephen_ Vincenzo Jr Chica Gee Mahondaw Atoto binti kiziwi
Now nimepunguza kg 3 kwa miezi miwili urefu sm 187 umri 39, kg 77 now .
View attachment 3485685
Hahaha hapo kwa umri wako upo vizuri rasiπ kwahiyo unajidai, mimi sijawahi kufika kg 54 toka nizaliweπ
Et eeh, basi ngoja nipambane nisije kuwa kibonge mwepesi ππHahaha hapo kwa umri wako upo vizuri rasi
Kitambi nomaπEt eeh, basi ngoja nipambane nisije kuwa kibonge mwepesi ππ
Sijawahi kuwa na kitambi ππKitambi nomaπ
Mimi juzi kati nilianza kujiachia nikapata kakitambi kisa pombe na nyama nilipanic mno ila now nimekikata fasta na nimeachana na nyama na wanga kabisaSijawahi kuwa na kitambi ππ
πππ, inaonekana umefanya mazoezi mazito kitambi ni nomaMimi juzi kati nilianza kujiachia nikapata kakitambi kisa pombe na nyama nilipanic mno ila now nimekikata fasta na nimeachana na nyama na wanga kabisa
Walaa mimi toka kidato cha pili mazoezi ni sehemu yangu ya maisha .πππ, inaonekana umefanya mazoezi mazito kitambi ni noma
Onhoo kumbe! Hongera zako aisee maana mambo ya kuwa kibonge mwepesi siyo powaWalaa mimi toka kidato cha pili mazoezi ni sehemu yangu ya maisha ,ndio maana nikikutana na mtu nikamwambia nina 39 anashangaa