Selfika na JF: Snap it. Show it

Selfika na JF: Snap it. Show it

🌝😊
Nashukuruu.
Mimi muislamu naoa zaidii ya mke mojaa..
Salamaleko sheikh ,nimeona kule yule mtoto anayesema pombe sio nzuri nimeshangaa maana nimeshindwa kujibu niko kwenye kampeni hapa namsubiri muenezi wa wilaya ya mbeya vijijini ameahidi Leo tutakesha Kaka .

Huyo muoe naomba kuwa mshenga au kuwa mchoma ubani kikubwa chai na maandazi havitatushinda .

Wabillah wataufiq
 
Salamaleko sheikh ,nimeona kule yule mtoto anayesema pombe sio nzuri nimeshangaa maana nimeshindwa kujibu niko kwenye kampeni hapa namsubiri muenezi wa wilaya ya mbeya vijijini ameahidi Leo tutakesha Kaka .

Huyo muoe naomba kuwa mshenga au kuwa mchoma ubani kikubwa chai na maandazi havitatushinda .

Wabillah wataufiq
Kaka Leo mtaupiga mwingi nakubalia Kila kitu.

πŸ˜ŠπŸ˜ƒ
 
Back
Top Bottom