Selfika na JF: Snap it. Show it

Kamati ya wambea kazini hapo mrs none anawaza jinsi ya kuja kutoa mabomu achafue hali ya hewa kasura tuu kanaonyesha hajali. Tena na wewe Lamo upo makini kufwatilia mafile 🀣🀣🀣🀣 . Coca ndio mfungua code mwenyewe tutanenepea nini na muda wote tunawaza umbea tuu
Huyu mwenye white skirt cocastic , huyo aliyegeuka anamsikiliza coca Lamo, hao wawili pembeni ya coca, trudie na Mrs none 😹😹😹

Hao wawili wa pembeni ya Lamo ? 😹😹
Hii kamati ya wambea ndiomana hatunenepi 🀣
 
Weka picha maneno mengi ya nini?
Halafu kaka modo acha kutumia β€œatiii” β€œtatoa” hii kwa mwanaume haina afya..!!
Sorry atiii nmezoea kuitumia sababu nmeishi sana Kenya, na hutumia sana, tatoa sijui shida wapi au we si mtz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…