Wakija hapo wote chini, fikia fikia mbinguni kwa sauti ya braza K. unamjua braza K?
Haya usinicheke lakini na ushamba wangu, Kuna uzi wa selfika humu tulikuwa tunaweka picha ukiweka ufiche kama hivyo ulivyoweka kuna watu wakadai wanaweza kutoa kubakiza sura tu. Je ni kweli?
Ndio maana wengine tunaficha na sticker za wasapu. (Mi ni ngumbaru kwenye mambo ya mtandao)