Selfika na JF: Snap it. Show it

msije niletea baraaa.. nina msetia mitambo 🤣🤣🤣 subirini hapo hapo wapendwaaView attachment 3448463
Wakija hapo wote chini, fikia fikia mbinguni kwa sauti ya braza K. unamjua braza K?

Haya usinicheke lakini na ushamba wangu, Kuna uzi wa selfika humu tulikuwa tunaweka picha ukiweka ufiche kama hivyo ulivyoweka kuna watu wakadai wanaweza kutoa kubakiza sura tu. Je ni kweli?

Ndio maana wengine tunaficha na sticker za wasapu. (Mi ni ngumbaru kwenye mambo ya mtandao)
 
Hakuna wa kutoa
Ni mbwembwe tu zile
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…