Anko T anasema mtu ana uwezo kidogo mzalie kidogo mtoto mmoja tu
Pea 1 ya soksi tabu ila unamzalia kama umechanganyikiwa,
Asubuhi pua hilo limevimba, mchana pua limevimba jioni pia limevimba
We mtotooππππππΏ
Anko T anajua kuchamba jamani
Eti baadaye watoto wanakufunika na mito puani unakufaπππππ