Selfika na JF: Snap it. Show it

Dotnata wee 😹😹
Nikimuona naona km namuona coca vile na maneno yao..!!
Bibi weee
Eti unazaa utadhani unashindana michezo ya umisenta sijui umitashumntA

Anamalizia na cheko lake hooohoyπŸ˜†πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Umeona ile ya wadada wa Dodoma eti wamepauka hawapaki mafutaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Bibi weee
Eti unazaa utadhani unashindana michezo ya umisenta sijui umitashumntA

Anamalizia na cheko lake hooohoyπŸ˜†πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ

Umeona ile ya wadada wa Dodoma eti wamepauka hawapaki mafutaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Nkamu mbona hii km unanisema mimi 😹😹
Hivi watu kuzaa wameeka sifa?
Halafu kila mtoto na baba yake na wote choka mbaya..!! 😹
 
Nkamu mbona hii km unanisema mimi 😹😹
Hivi watu kuzaa wameeka sifa?
Halafu kila mtoto na baba yake na wote choka mbaya..!! 😹
Anko T anasema mtu ana uwezo kidogo mzalie kidogo mtoto mmoja tu
Pea 1 ya soksi tabu ila unamzalia kama umechanganyikiwa,
Asubuhi pua hilo limevimba, mchana pua limevimba jioni pia limevimba
We mtotooπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸΏ
Anko T anajua kuchamba jamani
Eti baadaye watoto wanakufunika na mito puani unakufaπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hii imeenda 😹😹😹
 
Dodoma imekua kuliko Mbeya ila huwezi kuta miti na hali ya hewa nzuri hivi katikati ya Jiji.
The same applies to DSM.
Ndio maana jua linawatandika hadi utosini.
 

Attachments

  • PXL_20250805_114929403.jpg
    449.6 KB · Views: 8
Dodoma imekuwa kuliko Mbeya ila huwezi kuta miti na hali ya hewa nzuri hivi katikati ya Jiji.
The same applies to DSM.
Ndio maana jua linawatandika hadi utosini.
πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜† huo sio ujanja wenu ni asili ya eneo husika tu🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…