Likely shida ni P. Diddy. Akina Mondi walikaribishwa chumbani ila hawakuingia japo baadaye walifanya mambo ambayo ni siri. Yeye huyu na gauni alivaa na mihereni akavaa na kujipodoa juu. May be his time for fame is up!
Hivi kama ni kweli PDidy anawafanyia hivyo ina maana akiwafanyia anawapa pesa? au inakuwaje? PDidy nimganga wa kienyeji, agent wa shetani ama? huwa sielewi hapo...
Hivi kama ni kweli PDidy anawafanyia hivyo ina maana akiwafanyia anawapa pesa? au inakuwaje? PDidy nimganga wa kienyeji, agent wa shetani ama? huwa sielewi hapo...
Yani muda unataka kutoroka na familia na ukusanye pesa zako kumkimbia mtu hatari drug lord anayetaka kuwaua, mkeo anakuambia amempa jamaa pesa ambae ni mchepuko wake alikuwa anamla... lazima akili ziruke..