Binti wa zamani
Platinum Member
- Nov 19, 2011
- 11,810
- 27,310
Haya get readyJichanganye🤣
Haya get readyJichanganye🤣
Kwetu hakuna asili ya unene, huwa nikitaja miaka yangu wengi wanashangaa hata kama nikiachia udevuSema kama huna mwili wa kunenepa sana 47 utaonekana kama 28 tu
Naomba selfika hata ya mguu tu😋Haya get ready
Imeenda hiyo 🤣Naomba selfika hata ya mguu tu😋
Hapa kuna pesa mingi wachaga kwa kunusa tena🤣🤣🤣 ila wewe mrembo mno na kumbe kwel upo romantic hatari😋😋😋
Zingatia namna kitambi kinafichwa kwa nguvu zote 🤣 🤣 🤣Hapa kuna pesa mingi wachaga kwa kunusa tena🤣🤣🤣 ila wewe mrembo mno na kumbe kwel upo romantic hatari😋😋😋
Nimeona kidevu cha kupasuka katikati 😋😋😋Imeenda hiyo 🤣
No hakuna kitambi hapo kaone😊Zingatia namna kitambi kinafichwa kwa nguvu zote 🤣 🤣 🤣
Pesa mingi ya wapi Mangi 🤣 tunabanana tu hapo Tandale kwa tumboHapa kuna pesa mingi wachaga kwa kunusa tena🤣🤣🤣 ila wewe mrembo mno na kumbe kwel upo romantic hatari😋😋😋
Madam unayo nuru , pesa haijifichi hata usoni tu 😅Pesa mingi ya wapi Mangi 🤣
Nahudumiwa na baMtu wangu (ID ya zamani Big balls) mpenda mauno 🤣 !Madam unayo nuru , pesa haijifichi hata usoni tu 😅
Binti wewe mtamu sana hicho kidevu cha kupasuka ugonjwa wangu🥲🥲🥲🥲Haya get ready
Mangi, itakua unanifananisha 🤣 🤣 🤣Binti wewe mtamu sana hicho kidevu cha kupasuka ugonjwa wangu🥲🥲🥲🥲
Kumbe , yani upo romantic hata kwenye picha zinasadifu nyuzi zako😅Mangi, itakua unanifananisha 🤣 🤣 🤣
Ni mkulima wa kilimo cha umwagiliaji 🤣Hahahaha ba mtu wako kama sio fisadi imeisha hiyo🤣
Sasa huo uromantic umetokea wapi tena?Kumbe , yani upo romantic hata kwenye picha zinasadifu nyuzi zako😅
Toto tutusa sana wewe , wewe unapaswa upate huduma ya kwanza na utibiwe emergency kabisa😊Ni mkulima wa kilimo cha umwagiliaji 🤣
Namna hiyo maMtu 😊 😊Nahudumiwa na baMtu wangu (ID ya zamani Big balls) mpenda mauno 🤣 !
Hahahahaha acha zako , unafikiri jf tunadanyika kirahisi😅 mimi ni mlevi na ni mlevi kwel hakuna mbambaaa , wewe toto tutusa kabisa , umenoma umeshamiri kinouma.Sasa huo uromantic umetokea wapi tena?
Nyuzi zangu huwa ni kujitoa ufahamu tu 🙈😂