Lovelovie
JF-Expert Member
- Oct 2, 2021
- 12,971
- 26,952
Kutafuna tu😁😁😁bamia kwa ajili ya.....
Kutafuna tu😁😁😁bamia kwa ajili ya.....
Ahsante sana mkuu. Hili litakuwa zoezi langu kabisa.Pole sana Mkuu, Siku nyingine ukipigwa na mafua, hakikisha unafanya mazoezi ya kukimbia.
Baada ya Siku moja, mafua yote hupona
Ndiyo maana Wazee wanasema mazoezi ni tiba
Imenichukua muda kufahamu "A"
Duh pole ungejifukizaMi nilikuwa hoi. Niliugua mafua ya ajabu kweli sijawahi ugua mafua ya namna hii. Na homa kali mwili ulikuwa umechemka na kutetemeka.
Ahahah sio kosa lako umri ndio shidaImenichukua muda kufahamu "A"
Aibu yangu kutofahamu.
Naona hapo kijana asiye na adabu amekukaribisha 😂Ahahah sio kosa lako umri ndio shida
Kila la heri MkuuAhsante sana mkuu. Hili litakuwa zoezi langu kabisa.
Mkuu kwa hali niliyokuwa nayo nisingeweza hata kushika sufuria. Niliomba tu Mungu aniondolee roho ya mauti kama inanifuata.Duh pole ungejifukiza
🙏🏾🙏🏾Kila la heri Mkuu
Uyo muhuni uyoNaona hapo kijana asiye na adabu amekukaribisha 😂
Jambo jema umeponaMkuu kwa hali niliyokuwa nayo nisingeweza hata kushika sufuria. Niliomba tu Mungu aniondolee roho ya mauti kama inanifuata.
Nilikuwa nikitunisha mwili hivi napata maumivu ndani ya mwili. Sikioni, puani, hadi kwenye uso kwa ndani. Nikajua Covid kabisa.
Kuna mtu alikuja na mafua ofisini ndio toka hapo nikapatwa hiyo ajabu. Sijawahi ugua kwa namna ile.
Kula maisha kijanaWeeknd iliisha poa maangaiko yana endela
Zulu man Grahams De Opera Half american View attachment 3173648
Mungu mkuu!Jambo jema umepona
mvuta bangi angalia kijana asitamani watu waliomzidi umri huko mnapopaita "A" town.Uyo muhuni uyo
Atajua mwenyewe.mvuta bangi angalia kijana asitamani watu waliomzidi umri huko mnapopaita "A" town.
Ute utebamia kwa ajili ya.....
Hizi ni luga za kijeshiNdugu Mwachiluwi ni kweli Kuna bog linaendelea chini chini upande wenu ? Maana huku naona Kuna akina baba kanituma wameondoka Leo kwa kisigiri Cha Wana degree za cyber security embu nyoosha maelezo maana nina kijana wangu aishi kuniuliza ,Sasa shida milingoti yangu yote Sasa ni miambassador haina info ya Siri tena
Ubaya IPO mbali na Kijiji chetu pia
Ninyooshee mike