Hiyo mizigo kuna dogo anatoka nayo border Tunduma sasa inatakiwa aitume Mwanza, nimeumiza kichwa sipati jibu..!
Dah.! Sijui ntafanyaje hao katarama na premier nilitaka uzoefu wao, mana kampuni zingine zinapoteza mizigo ya watu.
Babu huyu lazima umpate kwanza pisi ya moto hii kuikosa ni sawa km hujaizunguka dunia πΉπΉπΉ
Huyu mtoto wa moto babu.!! Kaizidi ile mibibi yoteee π€£π€£π€£
Huyu mtoto kasimama, unakijua kisu? Sasa hii sparkle achana na ile mijokeri imezeeka πΉπΉπΉπββοΈπββοΈπββοΈπββοΈ