Selfika na JF: Snap it. Show it

Kapeace siongei maneno mengi nadhani umejionea babu alivyonyooka 😹😹😹

Babu G hili goma lako nakwambia makesure umenitumia pesa ya kumsindikiza mrembo akatengeneze kucha kwa mtoto Iddy 😹
Bora uendelee kufungiwa niitie mwebrania
 
Wacheki pia Isamilo bus

Au kama una haraka, pakia kwenye ndege kesho saa 6 Mchana utakuwa umefika, iwapo wakapakia kesho na ndege ya asubuhi kabla ya ku-connect na ndege ya DSM - Mwanza
Babu kwenye ndege gharama kubwa 😹😹
Au nichangie basi babu 😜

Ngoja niwacheck hao Isamilo
 
Bora uendelee kufungiwa niitie mwebrania
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Hapa kimenileta hiko cha kutuma parcel nisingekuja, jana nilikuwa busy jikoni mahi nimetengeneza had juisi za mwebrania 😹
 
Hahaha......ngoja nifanye hivyo
Babu huyu lazima umpate kwanza pisi ya moto hii kuikosa ni sawa km hujaizunguka dunia 😹😹😹

Huyu mtoto wa moto babu.!! Kaizidi ile mibibi yoteee 🀣🀣🀣
Huyu mtoto kasimama, unakijua kisu? Sasa hii sparkle achana na ile mijokeri imezeeka πŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸ˜ΉπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈπŸƒβ€β™€οΈ
 
Aaah wajukuu mnafaidi kuliko bibi zenu
Wee huogopi? Mjukuu tu naulizwa nichangiwe ngapi? Itakuwaje kwa bibi mwenyewe 😹😹

Mahi hebu mpelekee babu ugolo avute kwenye kiko yake πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Wee huogopi? Mjukuu tu naulizwa nichangiwe ngapi? Itakuwaje kwa bibi mwenyewe 😹😹

Mahi hebu mpelekee babu ugolo avute kwenye kiko yake πŸ˜‚πŸ˜‚
Hii kazi unaiweza wewe uliyenishawishi mimi kutuma picha humu aaah hapana πŸ™ŒπŸ™Œ
 
Hii kazi unaiweza wewe uliyenishawishi mimi kutuma picha humu aaah hapana πŸ™ŒπŸ™Œ
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ Mpelekee babu ugolo, ila mahi twende mbele tusirudi nyuma UMESIMAMA
Yani roho itaniuma babu akikosa kutalii hizo hips 😹
Babu yangu napenda azeeke vizuri bila stress na pension zake..!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…