Nimebahatika kuwa karibu na wazee tabia zenu wanaume wengi zinafanana kwa karibu, hasa kupenda downtown, bamkwe naelewana nae ananikubali kinoma mpaka mwanae analeta viwivu, marehemu babu huyo tulikuwa marafiki mno hadi wajukuu wengine walikuwa wanaona wivu, na hii inaenda hadi kitaa nikiingia sehemu nikakuta aged men automatically tu nakuwa karibu nao kupiga stories, acha niwapende 'wazee' tu naona ndo nyota yangu ilipo,
Siku tuko club na wadogo zangu nikakutana na kijana wa zamani tukapiga story mnooo akatupiga offer nzito nzito akawaambia ndg yenu ana akili kuwazidi wote basi tangu hapo naitwa mama wa wastaafu