Selfika na JF: Snap it. Show it

Woyoooo atakayesave sijali. Miye najua kufuta tu πŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈπŸ€Έβ€β™€οΈ
Ahsante sana Kapachino unataka zawadi gani?
 
Kusave inataka uwe chonjo chap chap, yani speed ya kufuta inabidi izidi ile kujaza vocha hapo mtu kusave ni ngumu
 
Geuka mbantu ili jioni iishe vizuri.
Asevu apeleke wapi naye
 
Duh safi sana sasa jana niliwalaza saa nane kisa kufuta picha🀣🀣kumbe mambo iizeee
Ni rahisi sana. Alishanifundisha, sema nikasahau mambo mengi tena.

1. Unatuma picha kama kawaida. Full image. Unaipost

2. Kuifuta unaenda edit, remove or delete. Halafu umasave.
Finito Madonna πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†
 
Ni rahisi sana. Alishanifundisha, sema nikasahau mambo mengi tena.

1. Unatuma picha kama kawaida. Full image. Unaipost

2. Kuifuta unaenda edit, remove or delete. Halafu umasave.
Finito Madonna πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜†
Kunakuwa na option 2 pale thumb nini na hiyo full image, mi huwa nachagua full image ndo yakanikuta yale ya jana, sasa nikiona mnairudia rudia hiyo full image napata mashaka bado
 
Hahaha!

Ni vizuri kutukumbusha mnywanii kuna wazee wengine wadeadly eti!

Kati ya watu waso waoga ni Mimi mnywani!
Pale kibeta
Kuna hotel nilichukuaga
Kuna kadingi kaliingia na mzigo nikajisemea huyu mzee ataweza hizi pukurushani za ili zigo.

Baada ya dk kazaa
Korido Zima lilikuwa linalindima kwa yowee

Sema siku iyo ndio ilikuwa mara yangu ya kwanza kula chabo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…