


nimekuota unanipigisha story za uongo na ukweli,, halafu hii siyo mara ya kwanza kukuota eti kuna siku niliota tumepatana kwa treni sema nilishindwa tu kukuambia juu wewe huwa hauniamini.. 


Umeniotaje?
nimekuota unanipigisha story za uongo na ukweli,, halafu hii siyo mara ya kwanza kukuota eti kuna siku niliota tumepatana kwa treni sema nilishindwa tu kukuambia juu wewe huwa hauniamini..
![]()












haki una taabu
Daah nimeona picha kwenye huu Uzi mdada kavaa suruali nyeusi imembana huko nyuma kafungasha pamejaa rutuba amejaaliwa cha ajabu naingia na scroll mwanzo mwisho sioni Hio picha
Wacha bwana!!Ee mungu nisaidie nikamilishe kibanda changu View attachment 1282756
Tuache na kijiwe chetu.



aise kuna rafiki yangu umefanana naye pua na mdomo,, ningesema ni yeye ila yeye siyo mzigua ni mnyakyusa..
Mwenza ndio nini kupungua hivyo?
Wanyakyusa mna pua zenu fulani hivi amazing.aise kuna rafiki yangu umefanana naye pua na mdomo,, ningesema ni yeye ila yeye siyo mzigua ni mnyakyusa..
Post namba ngapi mkuu hii kitu
Iko poa hiyo mkuu" Mimi nkiona hata mkate mandazi najilaumu kwanini hiyo ngano wasingetengenezea biaNimechomoka tena.. Leo nacheza na vibanda umiza tuuView attachment 1282774





daah huku ni kuumizana nafsi na vyenye niko huku maporini kila siku nashindia dona na ndondo vitu kama hivi huwa navisikia tu 


Nilifikiri unakuwaga mwehu ukiwa haujasinzia kumbe hadi usingizini![]()





jamani
Nilifikiri unakuwaga mwehu ukiwa haujasinzia kumbe hadi usingizini![]()