Nimetingwa na familia na majukumu mengine rafikiiii!
Za masiku mingi??? Ushatoka Bk??
Nipo kwa Museveni kesho ntapita hapo naelekea Mwanza then Daslamu!
Nitakuwepo bukoba, nilikuwa huko Kampala na Entebe wenzetu wanatumia hela sijawahi ona. Nilitembelea viwanja kadhaa hapo Kampala Catwalk Lounge na Throne ni balaa tupu nilikaa siku kadhaa ila nilifurahia sana...