Mimi nikienda kudeposit shillings nazibeba kwenye bag mgongoni ๐น๐น๐น
Nikijitoaga out awww naweka usd halafu natowaga had tips kwa wahudumu najikuta cash madame ๐คฃ
๐น๐น๐น waje waambie.!!
Halafu wewe bana unavyoongea km mgeni na kkoo.!
Hizo ni pesa za mauzo za mzigo nilikuwa nafunga hesabu za mwezi.!
Hizo zinaenda kuweka order ya mzigo mpya
๐น๐น๐น waje waambie.!!
Halafu wewe bana unavyoongea km mgeni na kkoo.!
Hizo ni pesa za mauzo za mzigo nilikuwa nafunga hesabu za mwezi.!
Hizo zinaenda kuweka order ya mzigo mpya