Selfika na JF: Snap it. Show it

Mimi nikienda kudeposit shillings nazibeba kwenye bag mgongoni ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Nikijitoaga out awww naweka usd halafu natowaga had tips kwa wahudumu najikuta cash madame ๐Ÿคฃ
Tajeeeeeeeeeerrrr umepoa!

Yeyote atakaekuzingua huo ugomvi Moja Kwa moja ni wangu!


Umepoa umepoaaaaaa
 
Elfu tatu nacho ni kibunda cha kulinda basi๐Ÿ˜๐Ÿ˜ tukianza lile zoezi utanieleza kuhusu hiyo Pete vizuri๐Ÿ˜†๐Ÿ˜†
Hamna hiyo pete ni urembo tyuu.!!
Mi napenda sana urembo ๐Ÿ˜น
 
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚ umenifanya nimecheka kwa sauti.!!
Nimehisi km ndo Mwijaku sasa anaongea.!!

Nimepoa le madame lamomy ๐Ÿ˜น
Winga unazingua
Nyie hizi mnakuaje nazo nyingi? mm Kwa siku zinapita nyingi sana zaidi ya 10M lakini Sasa ulizia yangu ni sh ngp hapo? Ni kamzozo
 
Nyie hizi mnakuaje nazo nyingi? mm Kwa siku zinapita nyingi sana zaidi ya 10M lakini Sasa ulizia yangu ni sh ngp hapo? Ni kamzozo
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Uongo
Wewe unayeshusha mzigo kila baada ya wiki 2 unakosaje hizo??
Au ndio hutaki warembo wakuombe afu tatu pm??
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น Uongo
Wewe unayeshusha mzigo kila baada ya wiki 2 unakosaje hizo??
Au ndio hutaki warembo wakuombe afu tatu pm??
Labda kama unamaaanisha nashusha kama kuli๐Ÿ˜,

Sema sishangai sana we kua na dollar kariakoo black market ya dollar nyingi zinamilikiwa na wanawake
 
Labda kama unamaaanisha nashusha kama kuli๐Ÿ˜,

Sema sishangai sana we kua na dollar kariakoo black market ya dollar nyingi zinamilikiwa na wanawake
Hamna black market yoyote, mi mkinga najituma na vijora vyangu.!!
Ukiniona ninavyopiga debe kuwashawishi wateja wanunue vijora utanionea huruma.!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Hamna black market yoyote, mi mkinga najituma na vijora vyangu.!!
Ukiniona ninavyopiga debe kuwashawishi wateja wanunue vijora utanionea huruma.!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Hapo Kwa Leo $1 ilikua 2835 Kwa hyo dollar zote ndo umetoka kuuza vijora? Wachina Wana la kujifunza kwako aseeee
 
Hapo Kwa Leo $1 ilikua 2835 Kwa hyo dollar zote ndo umetoka kuuza vijora? Wachina Wana la kujifunza kwako aseeee
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น waje waambie.!!
Halafu wewe bana unavyoongea km mgeni na kkoo.!
Hizo ni pesa za mauzo za mzigo nilikuwa nafunga hesabu za mwezi.!
Hizo zinaenda kuweka order ya mzigo mpya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ